pia wote wana Herufi "A" tena kati katiMbona hata herufi "I" iko kila rais aliyepita tazama
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Kambarage hana M,"Mwalimu"si jina lake,nicheo tu,kwasababu alikuwa mwalimu,alifundisha Pugu secondary,Wakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
Aheri ungeisema herufi A kwa mfano kAmbarage,hAssAn,mkApa ,jAkaya ,mAgufuli heruf M umeisingiziaInatokea tu ila hisia zako,nyerere hana m,hiyo uliyo itolea mfano hapo ni cheo.vp angekuwa injinia?pangekuwa na m?
Anayefuatia hana M, DBWakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
kweli kwenye KaMbarage huoni M hapo ilhali nimeiandika kwa herufi kubwa?? Kusoma hujui, hata Picha huoni?Mimi huko shule sikupita! [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] Umeelewa alichoongea mtoa mada lakini?
Wakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
Hivi vichwa ndivyo vimetoka chuo kikuu eti! Hii elimu ya Tanzania ni majanga! Nyerere jina lake ni "Mwalimu?" pumbavu kabisa hili!!Wakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
Ali Hassan Mwinyi......je?Nachojua Mimi maraisi wote wakatoliki. Maswali staki
Utumwa mbaya duhHata jk ni kama wapili
Sio kweliHakuna pahala nafikiri nimefeli,hoja yangu ni kwamba kuna herufi M katika hayo majina pasipokujali imetokana na nomino ama heshima.
Utumwa mbaya duh
Una mdau anadai, marais wote wakatoliki, sasa najiuliza nani aliemuaachia amshikie akili zake,....Upi elaborate
We nawe unaakili fupi mwalimu ni jina la Nyerere,,Wakuu habari zenu,
Kuanzia rais wa kwanza wa Tanzania hadi wa sasa katika majina yao iwe matatu au manne hakujawahi kukosekana jina linaloanzia na herufi M.
Mfano,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Alhaji Ally Hassan Mwinyi
Benjamin William Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Dr.John Pombe Joseph Magufuli
Je,kuna makusudi yeyote katika hiyo herufi au imekuwa ikitokea tu accidentally?
Una mdau anadai, marais wote wakatoliki, sasa najiuliza nani aliemuaachia amshikie akili zake,....
Angesema wapo tripple JKwenye hiyo unayoita title hakuna herufi M?