Majina ya Mitaa na Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Majina ya Mitaa na Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Miaka hiyo mji mwisho magomeni wengi dini moja,weka na picha ya wapigania uhuru mkoa wa mbeya na iringa,uhuru haukupiganiwa kariakoo na gerezani pekee.huyo mzee haruna taratibu ni babu yangu aliyehamia dodoma,ntakuletea rafikize wa imani nyingine aliokuwa nao kwenye harakati,japo nae alikuwa mmanyema kama mimi ila sifagilii approach yako ya mukhtadha wa unachokiandika
Mdukuzi,
Hilo unalokusudia kufanya ni jambo jema na mimi nakuunga mkono.

Mimi nilililofanya ni kuandika historia ambayo ilifutika na hakuna aliyewajua hawa wazalendo mfano wa Haruna Taratibu ambae wewe ni babu yako.

Nitashukuru sana kama utaweza kunipatia picha yake kwani mimi picha niliyonayo na naiweka hapo chini uione haiko katika hali nzuri.

Hakika uhuru haukupiganiwa Dar es Salaam peke yake,
Itapendeza tukipata na historia ya Mbeya na Iringa na kwengineko.

Nimeandika historia ya TANU Iringa.
Angalia link hapo chini.

Kuwa wewe hupendi historia niliyoandika hili si jambo la kushangaza.

Mimi sikupenda historia iliyoandikwa na Kimambo na Temu (1969), Ulotu (1971), Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Hakuna cha ajabu wewe kutopenda historia niliyoandika mimi (1998).

Ila kitu kimoja nitakuambia historia niliyoandika mimi imependwa na imejadiliwa na watu wengi sana na kitabu kimepata ''review'' tatu na wataalamu wa African History na kuchapwa katika Cambridge Journal of African History.

Kitabu kinakwenda toleo la tano.

Na kila tunapofanya mjadala hapa barzani napewa taarifa kuwa watu wanakwenda kununua kitabu.

Kitabu cha Abdul Sykes hakikuwa kitabu nilichoandika kufuta historia za wengine chembelecho, ''imani nyingine,'' kwani hata hao hawakuwako katika historia ya akina Kimambo na wenzake.

1645300178934.png

Kulia: Haruna Taratibu (Mmanyema wa Dodoma), Saadan Abdu
Kandoro (Mmanyema wa Ujiji), Julius Nyerere, Sheikh Mohamed
Ramiyya (Mmanyema wa Bagamoyo) na Iddi Faiz Mafungo (Mmanyema
wa Dar es Salaam).

 
Mzee Mohammed Said namuheshimu kwa jitihada zake za ubobezi kwenye historia ya Uhuru wa Tanganyika.
Nawa...
Mimi ni sehemu ya historia ya uhuru wa Tanganyika.
Babu zangu ndiyo walioasisi African Association 1929.

Baba zangu ndiyo walioasisi TANU 1954.
Siijui historia hii kwa kuisoma kweye kitabu chochote kile.

Nimeijua historia hii kwa sababu ni historia ya wazee wangu na imeishi ndani ya majumba yetu kwa miaka na miaka.

Hiyo picha hapo chini ni Dome Budohi na mimi kadi yake ya TANU ni no. 6 na alipata kuwa General Secretary wa TAA 1953 President akiwa Julius Nyerere na Vice President Abdul Sykes.

Majina ya viongozi hawa yapo katika Tanganyika Standard 19th June 1953.

1645301386993.png

Dome Budohi na Mwandishi Nairobi 1972.
 
Binafsi huwa nasoma sana makala za huyu Kaka yangu Ila kwa hili imebidi nitie neno, sioni sababu kwa nini majina yote ya kiislam na ndio anaona hao pekee wanafaa wapewe mitaa although sio tatizo sana but one may ask himself,. Why?????

Nilipofungua uzi nilitarajia kuona majina Kama ngamia, sukumawiki, Kibindoni, Mnana nk Ila akaona atuwekee majina ya waislam.

Naelewa kwamba hao ndio anaona walikuwa wapigania uhuru ambao kwa mtazamo wake wanesahaulika, lakini ni ngumu sana kuweka kila mtu aliyepigania uhuru maana kila mtu wazazi wake walipigania Uhuru maana waliutaka hakuna mwafrika ambaye hakutaka hata kama alikuwa kibaraka wa wakoloni.

Naangalia namna anavyojibu nimeona kama hajielewi sababu yeye anatoa history ya kila mmoja ya aliowataja, sisi hatuhitaji kuwaweka kwenye mitaa au basi angekuwa fair sababu kama ni wapigania uhuru aisee ni wengi mno asidhani babu yake pekee na hao wazee anaowajua yeye ndio walikuwa Frontline.

No wonder you have been taken to be a threat to national peace and unity tuliyonayo.

Your life is ending hebu ukiondoka duniani uache kazi nzuri ya historia Ila sio ya kuweka mtafaruku ambao kila siku unaambiwa na hujikagui au unafanya kwa makusudi.

Una heshima kwenye jamii Ila you are becoming incumbent and inconsiderate of the fact that tunaishi kwenye jamii ambayo wengine hawapendi haya majibizano yasiyo na faida yeyote hata wakiwekwa hawatafufuka.

Haya maandishi yako kuna siku yatatumika vibaya kuigawa hii jamii sijui huko uliko utajisikiaje na Mwenyezi Mungu atakupa adhabu gani.
 
Binafsi huwa nasoma sana makala za huyu Kaka yangu Ila kwa hili imebidi nitie neno, sioni sababu kwa nini majina yote ya kiislam na ndio anaona hao pekee wanafaa wapewe mitaa although sio tatizo sana but one may ask himself,. Why?????

Nilipofungua uzi nilitarajia kuona majina Kama ngamia, sukumawiki, Kibindoni, Mnana nk Ila akaona atuwekee majina ya waislam.

Naelewa kwamba hao ndio anaona walikuwa wapigania uhuru ambao kwa mtazamo wake wanesahaulika, lakini ni ngumu sana kuweka kila mtu aliyepigania uhuru maana kila mtu wazazi wake walipigania Uhuru maana waliutaka hakuna mwafrika ambaye hakutaka hata kama alikuwa kibaraka wa wakoloni.

Naangalia namna anavyojibu nimeona kama hajielewi sababu yeye anatoa history ya kila mmoja ya aliowataja, sisi hatuhitaji kuwaweka kwenye mitaa au basi angekuwa fair sababu kama ni wapigania uhuru aisee ni wengi mno asidhani babu yake pekee na hao wazee anaowajua yeye ndio walikuwa Frontline.

No wonder you have been taken to be a threat to national peace and unity tuliyonayo.

Your life is ending hebu ukiondoka duniani uache kazi nzuri ya historia Ila sio ya kuweka mtafaruku ambao kila siku unaambiwa na hujikagui au unafanya kwa makusudi.

Una heshima kwenye jamii Ila you are becoming incumbent and inconsiderate of the fact that tunaishi kwenye jamii ambayo wengine hawapendi haya majibizano yasiyo na faida yeyote hata wakiwekwa hawatafufuka.

Haya maandishi yako kuna siku yatatumika vibaya kuigawa hii jamii sijui huko uliko utajisikiaje na Mwenyezi Mungu atakupa adhabu gani.
Bond...
Ninachosema mimi ni kuwa tuwaenzi wapigania uhuru wa Tanganyika kwa kutunuku majina ya mitaa kwao kwa kuthamini mchango wao.

Ikiwa wewe mathalan unaona jina kama ''Ali Msham'' halifai unapendelea jina la mtaa liwe ''Kibindoni'' hilo ni wazo pia na wakazi wa eneo hilo wataamua jina lipi limebeba maana na kuhifadhi historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Si kuwa Mohamed Said kasema ndiyo itakuwa.
Mimi siyo niliyoweka majina ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi siye niliyemjaalia Abdulwahid Sykes kadi ya TANU No. 3 na mdogo wake Ally kadi No. 2, wala siye niliyekuwa naitisha mikutano ya siri usiku nyumbani kwake kuanzia mwaka wa 1950 kupanga mipango ya kuunda TANU.

Wala si mie niliyejaalia baba yao awe muasisi wa African Association 1929 chama kilichokuja kuzaa TANU wala si mimi niliyemshawishi yeye na Mzee in Sudi kuunda Al jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tangnayika) 1933;

Wala siye mimi niliyeunda Baraza la Wazee wa TANU ndani yake likiwa na wajumbe zaidi ya 120 wote Waislam na kumfanya Sheikh Suleiman Takadir kuwa Mwenyekiti wa baraza hilo.

Hii ndiyo historia kama ilivyokuwa.

Wala si mimi niliyewazuia wengine na wao wasishiriki katika harakati hizi za kupigania uhuru kama waivyoshiriki wazee wangu.

Kama kunilaumu nilaumu kwa nini nimetafiti historia hii na kuandika kitabu?

Kuwa kuna wapigania uhuru wengi hawajulikani hili linawezekana sana na tuna wajibu wa kujua historia zao.

Sijajua nahatarisha amani vipi kwa kuandika historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Kitabu nilichoandika cha maisha ya Abdul Sykes ambacho yote mnayosoma hapa ndiyo chanzo chake kinakwenda chapisho la tano na kinauzwa madukani toka 1998.

Wala sijaskia watu wamepigana baada ya kusoma kitabu changu.

Ingekuwa hiki kitabu kinaleta chembelecho "mtafaruku," na kuhatarisha amani na umoja wa kitaifa kingepigwa marufuku miaka mingi.

Unajisemea mambo usiyoyajua.

Nahusika katika juhudi ya kuhifadhi historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na uhuru wa Tanganyika takriban sasa mwaka wa 10.

Maktaba yangu ni kati ya maktaba bora tatu zenye taarifa nyingi kuhusu Baba wa Taifa na historia ya TANU na uhuru wa Tangnayika.

Maktaba hizi ni Maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. General Hashim Mbita na ya Mohamed Said.

Umesema kweli maisha yangu yako ukingoni na wala sikusubiri wewe kunifamisha hili.
Mtume SAW ametuambia umma wake umri wao ni miaka 60 au 70.

Juma lijalo natimiza miaka 70.
Nini nitaacha?

Nitakachoacha ni hazina ya taarifa na historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambayo ilipotea kabisa.

Mimi nikaitafiti na kuiandika ije kusomwa na kizazi hiki na kijacho.

Historia hii haijagawa Tanzania nikiwa hai na haitagawika baada ya umauti wangu.
Huna sababu ya kujitisha mwenyewe na kuwatia wengine kwenye taharuki ya kufikirika.

1645337396654.png

Picha ya hivi karibuni sana TBC walikuja nyumbani kufanya kipindi cha historia.
 
Bond...
Ninachosema mimi ni kuwa tuwaenzi wapigania uhuru wa Tanganyika kwa kutunuku majina ya mitaa kwao kwa kuthamini mchango wao.

Ikiwa wewe mathalan unaona jina kama ''Ali Msham'' halifai unapendelea jina la mtaa liwe ''Kibindoni'' hilo ni wazo pia na wakazi wa eneo hilo wataamua jina lipi limebeba maana na kuhifadhi historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Si kuwa Mohamed Said kasema ndiyo itakuwa.
Mimi siyo niliyoweka majina ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi siye niliyemjaalia Abdulwahid Sykes kadi ya TANU No. 3 na mdogo wake Ally kadi No. 2, wala siye niliyekuwa naitisha mikutano ya siri usiku nyumbani kwake kuanzia mwaka wa 1950 kupanga mipango ya kuunda TANU.

Wala si mie niliyejaalia baba yao awe muasisi wa African Association 1929 chama kilichokuja kuzaa TANU wala si mimi niliyemshawishi yeye na Mzee in Sudi kuunda Al jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tangnayika) 1933;

Wala siye mimi niliyeunda Baraza la Wazee wa TANU ndani yake likiwa na wajumbe zaidi ya 120 wote Waislam na kumfanya Sheikh Suleiman Takadir kuwa Mwenyekiti wa baraza hilo.

Hii ndiyo historia kama ilivyokuwa.

Wala si mimi niliyewazuia wengine na wao wasishiriki katika harakati hizi za kupigania uhuru kama waivyoshiriki wazee wangu.

Kama kunilaumu nilaumu kwa nini nimetafiti historia hii na kuandika kitabu?

Kuwa kuna wapigania uhuru wengi hawajulikani hili linawezekana sana na tuna wajibu wa kujua historia zao.

Sijajua nahatarisha amani vipi kwa kuandika historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Kitabu nilichoandika cha maisha ya Abdul Sykes ambacho yote mnayosoma hapa ndiyo chanzo chake kinakwenda chapisho la tano na kinauzwa madukani toka 1998.

Wala sijaskia watu wamepigana baada ya kusoma kitabu changu.

Ingekuwa hiki kitabu kinaleta chembelecho "mtafaruku," na kuhatarisha amani na umoja wa kitaifa kingepigwa marufuku miaka mingi.

Unajisemea mambo usiyoyajua.

Nahusika katika juhudi ya kuhifadhi historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na uhuru wa Tanganyika takriban sasa mwaka wa 10.

Maktaba yangu ni kati ya maktaba bora tatu zenye taarifa nyingi kuhusu Baba wa Taifa na historia ya TANU na uhuru wa Tangnayika.

Maktaba hizi ni Maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. General Hashim Mbita na ya Mohamed Said.

Umesema kweli maisha yangu yako ukingoni na wala sikusubiri wewe kunifamisha hili.
Mtume SAW ametuambia umma wake umri wao ni miaka 60 au 70.

Juma lijalo natimiza miaka 70.
Nini nitaacha?

Nitakachoacha ni hazina ya taarifa na historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambayo ilipotea kabisa.

Mimi nikaitafiti na kuiandika ije kusomwa na kizazi hiki na kijacho.

Historia hii haijagawa Tanzania nikiwa hai na haitagawika baada ya umauti wangu.
Huna sababu ya kujitisha mwenyewe na kuwatia wengine kwenye taharuki ya kufikirika.

View attachment 2124583
Picha ya hivi karibuni sana TBC walikuja nyumbani kufanya kipindi cha historia.
Well, punguza unazi basi.
 
Bond...
Ninachosema mimi ni kuwa tuwaenzi wapigania uhuru wa Tanganyika kwa kutunuku majina ya mitaa kwao kwa kuthamini mchango wao.

Ikiwa wewe mathalan unaona jina kama ''Ali Msham'' halifai unapendelea jina la mtaa liwe ''Kibindoni'' hilo ni wazo pia na wakazi wa eneo hilo wataamua jina lipi limebeba maana na kuhifadhi historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Si kuwa Mohamed Said kasema ndiyo itakuwa.
Mimi siyo niliyoweka majina ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi siye niliyemjaalia Abdulwahid Sykes kadi ya TANU No. 3 na mdogo wake Ally kadi No. 2, wala siye niliyekuwa naitisha mikutano ya siri usiku nyumbani kwake kuanzia mwaka wa 1950 kupanga mipango ya kuunda TANU.

Wala si mie niliyejaalia baba yao awe muasisi wa African Association 1929 chama kilichokuja kuzaa TANU wala si mimi niliyemshawishi yeye na Mzee in Sudi kuunda Al jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tangnayika) 1933;

Wala siye mimi niliyeunda Baraza la Wazee wa TANU ndani yake likiwa na wajumbe zaidi ya 120 wote Waislam na kumfanya Sheikh Suleiman Takadir kuwa Mwenyekiti wa baraza hilo.

Hii ndiyo historia kama ilivyokuwa.

Wala si mimi niliyewazuia wengine na wao wasishiriki katika harakati hizi za kupigania uhuru kama waivyoshiriki wazee wangu.

Kama kunilaumu nilaumu kwa nini nimetafiti historia hii na kuandika kitabu?

Kuwa kuna wapigania uhuru wengi hawajulikani hili linawezekana sana na tuna wajibu wa kujua historia zao.

Sijajua nahatarisha amani vipi kwa kuandika historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Kitabu nilichoandika cha maisha ya Abdul Sykes ambacho yote mnayosoma hapa ndiyo chanzo chake kinakwenda chapisho la tano na kinauzwa madukani toka 1998.

Wala sijaskia watu wamepigana baada ya kusoma kitabu changu.

Ingekuwa hiki kitabu kinaleta chembelecho "mtafaruku," na kuhatarisha amani na umoja wa kitaifa kingepigwa marufuku miaka mingi.

Unajisemea mambo usiyoyajua.

Nahusika katika juhudi ya kuhifadhi historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na uhuru wa Tanganyika takriban sasa mwaka wa 10.

Maktaba yangu ni kati ya maktaba bora tatu zenye taarifa nyingi kuhusu Baba wa Taifa na historia ya TANU na uhuru wa Tangnayika.

Maktaba hizi ni Maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. General Hashim Mbita na ya Mohamed Said.

Umesema kweli maisha yangu yako ukingoni na wala sikusubiri wewe kunifamisha hili.
Mtume SAW ametuambia umma wake umri wao ni miaka 60 au 70.

Juma lijalo natimiza miaka 70.
Nini nitaacha?

Nitakachoacha ni hazina ya taarifa na historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambayo ilipotea kabisa.

Mimi nikaitafiti na kuiandika ije kusomwa na kizazi hiki na kijacho.

Historia hii haijagawa Tanzania nikiwa hai na haitagawika baada ya umauti wangu.
Huna sababu ya kujitisha mwenyewe na kuwatia wengine kwenye taharuki ya kufikirika.

View attachment 2124583
Picha ya hivi karibuni sana TBC walikuja nyumbani kufanya kipindi cha historia.
mim nafuatilia sana mada mzee nafurah sana kuwa nimeelimika na kufunguka macho baada ya kusoma historia hii za wazee.
nakumbuka mara ya kwamza nasoma kitabu tena kwa bahat mbaya miaka ming sana labda 12 iliyopita katika kupekua pekua nyumban kwa kaka nipo sina kaz naona kitabu.:The life and times of Abdulwahid Sykea.Untold history of muslim Struggle in Tanganyika. nilikua nakisoma sikukiacha mpk karibu na katikat nikishangaa vipi sikuwah kujua haya muda huu,niliona ni madin kias gan nayaona haya mana hadi picha zipo.
nikivutika sana kujua jjns Emwas ilivokufa na kuzaliwa chombo kilchopo
bjnafs nimefika kwa mzee Saleh Masas nilimuona kwa macho yangu nakumbuka mzee nilimkuta kwenye wheelchair pale kwake upanga nikiwa mdogodogo tu. ghafla nakuja kusoma jinsi alivoplay part nilibak kinywa waz.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom