Majina ya mkopo (HESLB) yametoka?

Bodi haina pesa..... pesa zipo kwenye bunge la katiba.....so be cool... zitatoka tu
 
wadau anayejua chochote kuhusu mchakato wa mikopo anisaidie maana hadi sasa cjaskia chochote kutoka bodi ya mkopo.....plzz
 
naona ya tcu yanakaribia kuisha ,jukwaa linaanza kuchafuka na thread za mikopo thatha owky tusibiri wataalamu waje?
 
kwani bunge la katiba na mikopo ya elimu kipi bora?
 
kwa mwenye ufahamu, kuna vijana wamepewa barua zao za kujiunga chuo jana na usajili unaanza tar 29 na wanasema ili usajiliwe unatakiwa uwe umelipia bank 60% huku bodi hawajatoa.

kwa wakongwe kama mpo tunaomba ujanja nini cha kufanya ili tusichelewe registration
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…