kwa mwenye ufahamu, kuna vijana wamepewa barua zao za kujiunga chuo jana na usajili unaanza tar 29 na wanasema ili usajiliwe unatakiwa uwe umelipia bank 60% huku bodi hawajatoa.
kwa wakongwe kama mpo tunaomba ujanja nini cha kufanya ili tusichelewe registration
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.