Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha maneno yangekua yanatoboa hawa mamudi wangeshakua tenga zamaniii maana kila mtu analake jambo kuhusu wao dah.Mods wa jf ni wanajikutaga na wao wana mihemko ya kisiasa
Kuna Mod hapo sijui nina bifu nae anafuta Sana Nyuzi zangu.Mbona wana majina ya "ajabu" ajabu kama ya wateja? Wao si inabidi wajulikane wapokee maoni/malalamiko kwa majina halisi maana wao si wachangiaji wanapkuwa kazini au vipi. Kama Maxence Melo ni jina halisi!
Boqin
Wand
Active
Diversity
Panel
Moderator
etc etc
Wanapokuwa kazini majina yao halisi ni muhimu. Wakigeuka kuwa wachangiaji, basi wanakuwa na majina kama Retired, Teenager and the likeMkuu mbona wewe hutumii jina lako halisi?
Mambo mengine yanahitaji anonymity.
.....kumbe ndio maana mnataka kuwajua majina....Kuna Mod hapo sijui nina bifu nae anafuta Sana Nyuzi zangu.
Aombe tusikutane kitaa
Ngoja tuwakalishe kikao wajitambulishe.....kumbe ndio maana mnataka kuwajua majina....
Wamefuta uzi wanguHayapokelewi alafu wwnatufanyia kama vile wanaendesha familia zao
Unadhani wapo kanisani?Wanalipwa mishahara ?
Hahah umejibu ama umeuliza swali?Unadhani wapo kanisani?