'Majina' ya ndege zetu mpya za ATCL

'Majina' ya ndege zetu mpya za ATCL

Ha ha ha MOTOCHINI acha hasira mkuu utapata maradhi bure! Hapa JF usione watu wanapinga mambo ukadhani ni watu wa hovyo kama unavyodhani. Wengine ni maafisa wakuu ndani ya serikali hii na mashirika yake. Na kama hata wakiponda hizo ndege ndio hao hao wanazipanda tena kwa pesa za kulipiwa na serikali hiyo hiyo ya Magufuli.
Hivyo tuliza mzuka.

Umesha toka usingizini!?
 
Kwanini juhudi na rasilimali zisihamie kwenye madawa na madawati? You people fail to amaze me!!

Huwa hamuelewi kabisa panapokua na rasilimali haba zinapaswa kuelekezwa penye tija na mantiki zaidi. Na kwa serikali basi pia penye manufaa zaidi kwa wengi.

Sasa ni wazi umaskini unatamalaki kwa kushindwa kuchagua vipaumbele!!
Kumbuka tu kuwa serikali haifanyi kitu kimoja at a time.
 
Back
Top Bottom