MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Kwa mnywa Viroba ataamimi ujinga huoWana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujielezea kuliko yule PhD holder asiejua kuongea wala kujielezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mnywa Viroba ataamimi ujinga huoWana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujielezea kuliko yule PhD holder asiejua kuongea wala kujielezea
Ha ha ha MOTOCHINI acha hasira mkuu utapata maradhi bure! Hapa JF usione watu wanapinga mambo ukadhani ni watu wa hovyo kama unavyodhani. Wengine ni maafisa wakuu ndani ya serikali hii na mashirika yake. Na kama hata wakiponda hizo ndege ndio hao hao wanazipanda tena kwa pesa za kulipiwa na serikali hiyo hiyo ya Magufuli.
Hivyo tuliza mzuka.
Kumbuka tu kuwa serikali haifanyi kitu kimoja at a time.Kwanini juhudi na rasilimali zisihamie kwenye madawa na madawati? You people fail to amaze me!!
Huwa hamuelewi kabisa panapokua na rasilimali haba zinapaswa kuelekezwa penye tija na mantiki zaidi. Na kwa serikali basi pia penye manufaa zaidi kwa wengi.
Sasa ni wazi umaskini unatamalaki kwa kushindwa kuchagua vipaumbele!!
Umesha toka usingizini!?