[emoji1] [emoji3][emoji3][emoji3]sio poaKaka nikwambie kitu?
-ndugu ukitumiwa hio sms we zima simu toa betri kaa wiki ndio urudi hewani-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji3][emoji3][emoji3]sio poaKaka nikwambie kitu?
-ndugu ukitumiwa hio sms we zima simu toa betri kaa wiki ndio urudi hewani-
Kibarua alipwe mshahara?
ndugu get back to school
Nashindia Muhogo = Pesa ya Mshahara Chadema
Sabuni baada ya kupewa mbunyeKwema Wakuu!!
Pesa inamajina mengi Sana kulingana na matumizi ya Huduma Fulani. Kwa uchache haya ni sehemu ya majina hayo;
1. Nauli.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua Huduma ya usafiri.
2. Zaka na Sadaka.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua huduma ya Ibada au shughuli za kiroho.
3. Mahari
Pesa Kwa ajili ya kupata Mke au kununua Mwanamke ili awe Mke wako.
4. Ada.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma ya elimu au ujuzi, kununua elimu au Ujuzi.
5. Kodi na Ushuru.
Pesa Kwa ajili ya kupata au kuwapa watawala, ili wakuongoze au wakutawale vizuri.
6. Vocha
Pesa Kwa ajili ya kupata au kununua Huduma za mawasiliano Kama iwe ya kupiga simu, kutuma SMS au kupata kifurushi cha intaneti.
Ongeza majina mengi ya pesa kulingana na matumizi na Huduma.
Daah! Alisahauje hi!?Yaani umetaja zote kubwa kubwa umesahau Mshahara
-Pesa wanayolipwa wafanyakazi
mshaharaKwema Wakuu!!
Pesa inamajina mengi Sana kulingana na matumizi ya Huduma Fulani. Kwa uchache haya ni sehemu ya majina hayo;
1. Nauli.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua Huduma ya usafiri.
2. Zaka na Sadaka.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma au kununua huduma ya Ibada au shughuli za kiroho.
3. Mahari
Pesa Kwa ajili ya kupata Mke au kununua Mwanamke ili awe Mke wako.
4. Ada.
Pesa Kwa ajili ya kupata Huduma ya elimu au ujuzi, kununua elimu au Ujuzi.
5. Kodi na Ushuru.
Pesa Kwa ajili ya kupata au kuwapa watawala, ili wakuongoze au wakutawale vizuri.
6. Vocha
Pesa Kwa ajili ya kupata au kununua Huduma za mawasiliano Kama iwe ya kupiga simu, kutuma SMS au kupata kifurushi cha intaneti.
Ongeza majina mengi ya pesa kulingana na matumizi na Huduma.
DuuKaka nikwambie kitu?
-ndugu ukitumiwa hio sms we zima simu toa betri kaa wiki ndio urudi hewani-