Majina ya Pesa kulingana na matumizi na huduma

Nashangaa mpaka sasa hivi hakuna aliye taja " Hongo"
 
Sabuni baada ya kupewa mbunye
 
Rushwa (ya fedha)...pesa inayolipwa ili mfaidika mambo yake yaende, yawe halali au haramu.

Hii inaenda pande zote, kwa anayetoa na anayepokea.
 
mshahara
 
1 Timotheo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.
⁷ Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;
⁸ ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
⁹ Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na tanzi, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotevu na uharibifu.
¹⁰ Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.


[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
 
"changu"

eg: nimempa papa usiku kucha, asubuhi kanipa "changu" nikasepa
 
MUAMALA- HUDUMA YA KIFEDHA KIMTANDAO

MAFAO/KIINUA MGONGO - HELA BAADA KUSTAAFU KAZINI....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…