Majina ya Radio zinazosikilizwa sana mikoani

Majina ya Radio zinazosikilizwa sana mikoani

MUST

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
107
Reaction score
65
Habari wadau. Napenda kujuaa majina ya Vituo vya radio vinavyosikilizwa sana Mikoani na vinafaa kutuma matangazo. Mikoa ninayoitarget ni hii

1. Morogoro
2. Tanga
3. Moshi
4. Arusha
5. Babati
6. Tabora
7. Mbeya
8. Iringa
9. Mara
10. Katavi


Asanteni
 
Habari wadau. Napenda kujuaa majina ya Vituo vya radio vinavyosikilizwa sana Mikoani na vinafaa kutuma matangazo. Mikoa ninayoitarget ni hii

1. Morogoro
2. Tanga
3. Moshi
4. Arusha
5. Babati
6. Tabora
7. Mbeya
8. Iringa
9. Mara
10. Katavi


Asanteni
Arusha radio Five.
 
mpaka 2020, radio iliyokua inapatikana na kusikilizwa na watu wengi hasa vijana ni clouds, inayopatikana lakini haisikilizwi sana na hasa na vijana ni TBC.
 
mimi nafanya kazi za uwakala wa matangazo mikoa ya magharibi na radio zinazosikilizwa sana ni kwizera,radio uhai,sg five radio, joy fm na kuna mya main fm naweza kukupa offer ya mwezi mzima free kwa mikoa ya kigoma katav na tabora. mikoan ni rahis sana matangazo. hela ya kulipia clouds mwezi wiki moja unalipia radio tano mikoan mwez mzima
 
mimi nafanya kazi za uwakala wa matangazo mikoa ya magharibi na radio zinazosikilizwa sana ni kwizera,radio uhai,sg five radio, joy fm na kuna mya main fm naweza kukupa offer ya mwezi mzima free kwa mikoa ya kigoma katav na tabora. mikoan ni rahis sana matangazo. hela ya kulipia clouds mwezi wiki moja unalipia radio tano mikoan mwez mzima

Uko sahihi na tunakokwenda redio kama clouds ambao wamekariri kua wao ni redio za kitaifa watakosa biashara kabisa maana mtu anaangalia mfano redio fulani iko cheap na inasikika mikoa 4 au 5 akichek na market space yake anafanya kazi na redio za mikoani,
 
Back
Top Bottom