A ajira ngumu Member Joined Dec 21, 2014 Posts 64 Reaction score 4 Jan 7, 2015 #1 jaman naomben kuuliza wale walioomba ualimu mwez uliopita ambapo ded line ilikuwa dec 30 bdo hayajatoka na mi lin yanaweza kuwa tayr kama bdo mwenye fununu na uelewa atujuzeee jmniii!!!
jaman naomben kuuliza wale walioomba ualimu mwez uliopita ambapo ded line ilikuwa dec 30 bdo hayajatoka na mi lin yanaweza kuwa tayr kama bdo mwenye fununu na uelewa atujuzeee jmniii!!!
E Evz JF-Expert Member Joined Apr 28, 2014 Posts 674 Reaction score 130 Jan 7, 2015 #2 Subiri kidogo mpaka tarehe15.
M mama shaa Member Joined Sep 30, 2014 Posts 8 Reaction score 2 Jan 7, 2015 #3 Jamani Nina ndugu yangu aliachwa kwenyeajila ya ualimu akaenda tamisemi akaambuwa asubiri itatoka undo Hii inayozungumziqa hapa au kuna ajira mpya
Jamani Nina ndugu yangu aliachwa kwenyeajila ya ualimu akaenda tamisemi akaambuwa asubiri itatoka undo Hii inayozungumziqa hapa au kuna ajira mpya
Kv-london JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 2,877 Reaction score 5,022 Jan 7, 2015 #4 Bado hadi mwez march endlea kuwa mvumiliv