Majina ya vitabu vinavyowabadilisha watu maisha yao kifedha ni hivi hapa, 2018 inakusubiri kwa mafanikio

Majina ya vitabu vinavyowabadilisha watu maisha yao kifedha ni hivi hapa, 2018 inakusubiri kwa mafanikio

Kama uzi unavyojieleza vitabu vinavyowabadilisha watu na maisha Yao hi hivi,

think and grow rich,,

retire young retire rich,

the millionaire,

rich Dad poor dad.

Kama na wewe una vitabu vingine tusaidiane kuviorodhesha hapa tuvisome,Kwa msaada.
Gud bro
 
Kusoma hivo vitabu na kuvitafsiri kuwa kiswahili ni fursa ya kutengeneza pesa ndefu lakini watu wanajilaumu kuwa wamesoma lakini hawapati ajira
Ndugu yangu wee , ufanye kazi hiyo utegemee itakulipa? Wasomaji watanzania hawa hawa wapenda udaku?
 
Hongera kwa uzi mrua, kitabu kingine ni Biblia
 
Kuna vtabu vingi tu nimevisoma lakini the best ever kwangu ni

THE MILLIONAIRE FASTLANE
NA
UNSCRIPTED : Life,liberty and pursuit of entrepreneurship

Yani ukivisoma hivi/ukaskiliza audio books ...utathink na kuact different

PIA TUKUMBUSHANE, READING PEKEE HAITOLETA MAFANIKIO, Bali ACTION/PRACTICE za ulichojifunza EVERYDAY

Wish u all successful 2018
sasa si mvimwage hapa
 
Back
Top Bottom