Tatizo hawa wa miaka ya leo wengi ni 'mapunga'Ukiangalia mpaka sasa hivi majina ya Wa Israel ni Yale Yale ya kwenye Biblia
Ukisoma Biblia utakutana na majina mengi ya wa Israel. Mfano ni Ehud Barrack, Ariel Sharon, Benjamin Netanyahu, Shimon Peres, Naftari Bennett, David Ben Gurion. nk
Kwa hao wanaosema hawa sio wa Israel ni muongo.
hoja ni ulokole au hoja ni hao ni wayaud kwel au laah ?Walokole mna matatizo sana.
Basi kama hivyo hata Benjamin Mkapa Muisraeli naye.Ukiangalia mpaka sasa hivi majina ya Wa Israel ni Yale Yale ya kwenye Biblia
Ukisoma Biblia utakutana na majina mengi ya wa Israel. Mfano ni Ehud Barrack, Ariel Sharon, Benjamin Netanyahu, Shimon Peres, Naftari Bennett, David Ben Gurion. nk
Kwa hao wanaosema hawa sio wa Israel ni muongo.
Zote ni hoja.hoja ni ulokole au hoja ni hao ni wayaud kwel au laah ?