mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Acha mambo ya kizamani, hatujakuomba utukumbushe mambo ya LIBOLO la Angola
Wew list yako iko wapi au unashoboka tu?LIBOLO......
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mambo ya kizamani, hatujakuomba utukumbushe mambo ya LIBOLO la Angola
Achana naye. Kuku mtamu huyo!Wew list yako iko wapi au unashoboka tu?LIBOLO......
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mongella ..............................
Mboo Mpenza- belgium 2002.
Kuna Nicco Bambaga
zamoyoni bestieee!!
unakumbuka miaka ile walikuja ushirika kucheza na timu ya ushirika??
ugomvi mwiko
Huyu jamaa nakumbuka wakati wa World cup ya Korea na Japan kuna wakati alitembelea mji Kumamoto kuna gazeti moja hapa nchini likatoa picha yake na maandishi "MBO NDANI YA KUMAMOTO" I was like 'whaaat..!'
Kuna wanasoka hodari wa zamani ambao majina yao yalileta burudani hasa yalipotamkwa na watangazaji mahiri wa mpira wa enzi hizo kama Charles Hilary, Ahmed Jongo, Salim Mbonde, Iddie Rashid Mchatta (RIP) na Nadhir Mayoka (RIP). Baadhi ya ninaowakumbuka ni hawa:
Madata Lubigisa
Madundo Mtambo
Morris Nyuchi
Kipanya Malapa
Ikupilika Nkoba
Costa Magoloso
Omari Mswaki
Betwell Africa
Itutu Kigi
Huyu jamaa nakumbuka wakati wa World cup ya Korea na Japan kuna wakati alitembelea mji Kumamoto kuna gazeti moja hapa nchini likatoa picha yake na maandishi "MBO NDANI YA KUMAMOTO" I was like 'whaaat..!'