Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

Haa! Paul Rwechungula huyu jamaa alikuwa golikipa mzuri sana ndio alikuwa anagombea namba na Madata Lubigisa (baba yake na Lubigisa lubigisa aliyewahi kuchezea Simba) pale Pamba (Tupwisa Mazembe Lindanda wana kawekamo)! Mara ya mwisho kumsikia ilikuwa ni kwenye michuano ya Kombe la Afrika Mashariki ( sasa Kagame Cup) kule Uganda timu ya Pamba ilikuwa inacheza na Sport Villa ya Uganda, nakumbuka Pamba ilipigwa "uchaguzi wa madiwani arusha (i.e 4-0), goli la nne lilifungwa na Majjid Musisi na nilimsikia mtangazaji akisema" Rwechungura is annoyed he is going out of the pitch"... Tangu hapo sijamsikia tena!
 
Wengine ni...

Mohammed Kachumbari, Said Jeki, Yanga Bwanga, Kipara, Hamisi Askari, Bakari Kidevu
 
George Magere Massatu,bonge la center half wa miaka hiyo

Hamza Mponda, Hussein Amani Masha"smart Boy" Hussein Mwakuruzo, Gasper Lupindo, Justine Mtekere, ramadhani Lenny!, Abubakar Salum" sure boy" Muhidin Cheupe, Keneth Pius Mbeyela Mkapa, George Gole, Joram Mwakatika"baba wa Toto" Kitwana Selemani, Msonga Rashid Msona....
 
Mkuu Dominick Chilambo R.I.P nadhani alikuwa ameshafariki enzi za kina Lubigisa Madata Lubigisa

Sidhani ila wanaokumbuka zaidi wanaweza kutujuza manake nakumbuka huyu alikuwa kipa wa pamba ya mwanza enzi hizo....Yawezekana unamchanganya na Lubigisa Lubigisa....
 
mkandinga
chuma
kizwezwe
kiswabi
faya
omari mgeni
abbas mturi
jumanne mnubi
karabi
Buji alikuwa anachezea bandari ya mtwara enzi ya kina chuma
hamisi malumbo
 
Hapo nimekupata...kumbe unamuongelea baba mtu...lol memory yangu ya awali ilinipeleka kwa yule namba mbili wa Simba enzi za kina Pawasa...

Enzi za kina Chilambo ilikuwa lazima mida ya jioni uwe karibu na redio kuhakikisha hupitwi hata na yale matangazo ya biashara(Hedex kiboko ya maumivu n.k)...kabla ya hapo unakuwa ulishaanika betri zako juani kuongeza chaji halafu umeziunganisha nyingi...

Sidhani ila wanaokumbuka zaidi wanaweza kutujuza manake nakumbuka huyu alikuwa kipa wa pamba ya mwanza enzi hizo....Yawezekana unamchanganya na Lubigisa Lubigisa....
 
Huyu Abdalah Bori,anafanya kazi kwenye kampuni moja kwa sasa ambapo niko nae karibu sana aliwahi kunisimulia kwamba alikuwa mcheza mpira nikamkatalia kabisa, nimeona anatajwa hapa, kumbe ni kweli. Maana yawezekana enzi hizo nilikuwa mtoto.

Au hukuwa bado raia wa dunia hii!
 
mongella ..............................

Halafu ilikuwa mpaka nje ya nchi. Kwa mfano soma haya majina ya wachezaji wa nchi na ligi nyingine duniani kwa lugha ya Kiingereza. Kuna wakati mpaka watangazaji waliokuwa wanaona kuyataja wanauchuna tuu


  1. David Seaman
  2. Nick Butt
  3. Argelico F.u.c.k.s
  4. Stephan Kuntuz
  5. Andre Muff
  6. Ralf Minge
  7. Paul Dickov
  8. David Goodwillie
  9. Danny Shittu
  10. Johan de Cock
  11. Fabian Assman
  12. Daniel Drinkwater
  13. Creedance Clearwater Couto
  14. Boy Waterman
  15. Steve Kums
  16. Shiteus Bramble
  17. Francisco Arce
  18. Ars Bandeet
  19. Segar Bastard
  20. Milan Fukal
  21. Bongo Christ
  22. Wolfgang Wolf
  23. Peter Pandel
  24. Rafael Scheidt
  25. Rod Fanni
  26. Johnny Moustache
  27. Quim
  28. Brian Pinas
  29. Bernt Haas
  30. Uwe Fuchs
  31. Norman Conquest
  32. Danger Fourpence
  33. Harry Daft
  34. Ruud Boffin
  35. Mark De Man
Kwa msaada wa: The Top 11 Filthiest Football Player Names Ever - FTBpro na Funny Football Player Names | Soccerlens
 
Nakumbuka sana best nilikuwa never miss....nilikuwa ball boy (naokota mipira na kurudisha uwanjani pale ushirika) nikiwa shule ya msingi. Ushirika walikuwa na kocha mmoja Dan Koroso alifundisha soka maridadi sana enzi za kina Bahatisha ndulute, Ofen Martin, Stephen Nyenge, Waziri Ally, Kaunda Mwakiptope, Venance Motto...dah kumbukumbu zinaanza kupotea. Nakumbuka katika msimu mzima wa ligi ni Yanga tu iliweza kuifunga ushirika goli moja, goli lililofungwa na Abeid Mziba kwa kichwa. Timu zote ama ziliambulia sare au ziliondoka na kichapo.

dah... umenikumbusha enzi zile tunakula premier pale tena kiingilio kabla ya saa sita bure, enzi za akina michael john, willy john, issa kiyange??

dah
 
Mimi wachezaji majina yao hayanikoshi kama inavyonikosha timu ya LIBOLO.....simba wanaijua shughuli ya libolo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Du !!!! LIBOLO!!!!!
 
naongezea na marefa wa zamani

manyoto ndimbo
ramadhani kaabuka
kawambwa
msafiri mkeremi
abdulrasul ismail
shabani marajani
makwega
 
Mwingine ni SEKILOJO CHAMBUA. Sijui yuko wapi siku hizi.
 
Halafu ilikuwa mpaka nje ya nchi. Kwa mfano soma haya majina ya wachezaji wa nchi na ligi nyingine duniani kwa lugha ya Kiingereza. Kuna wakati mpaka watangazaji waliokuwa wanaona kuyataja wanauchuna tuu


  1. David Seaman
  2. Nick Butt
  3. Argelico F.u.c.k.s
  4. Stephan Kuntuz
  5. Andre Muff
  6. Ralf Minge
  7. Paul Dickov
  8. David Goodwillie
  9. Danny Shittu
  10. Johan de Cock
  11. Fabian Assman
  12. Daniel Drinkwater
  13. Creedance Clearwater Couto
  14. Boy Waterman
  15. Steve Kums
  16. Shiteus Bramble
  17. Francisco Arce
  18. Ars Bandeet
  19. Segar Bastard
  20. Milan Fukal
  21. Bongo Christ
  22. Wolfgang Wolf
  23. Peter Pandel
  24. Rafael Scheidt
  25. Rod Fanni
  26. Johnny Moustache
  27. Quim
  28. Brian Pinas
  29. Bernt Haas
  30. Uwe Fuchs
  31. Norman Conquest
  32. Danger Fourpence
  33. Harry Daft
  34. Ruud Boffin
  35. Mark De Man
Kwa msaada wa: The Top 11 Filthiest Football Player Names Ever - FTBpro na Funny Football Player Names | Soccerlens

Mkuu, kuna Mtaliano mmoja alikuwa ni bingwa wa kuteleza juu ya theluji (skiing) miaka ya 1990. Jina lake la kwanza ni Alberto. La pili ni neno la Kiswahili ambalo huwezi kuandika humu. Hebu google maneno haya alberto skiing au alberto skier na utaelewa nina maana gani. Vyombo vyetu vya habari vya Bongo vingekuwa na wakati mgumu sana kama bwana huyu angekuwa, kwa mfano, ni mchezaji wa kiwango cha juu Manchester United, Barcelona au klabu nyingine maarufu Ulaya.
 
Omar Hussen "Kevin Keegan", Malota Soma "Ball Jagler", Gebo Peter, Adolf Rishard, Celestine Sikinde Mbunga, Rais Leodger Tenga, Sunday Manara, Kitwana Manara, Mohammed Chuma, Razaq Yusuf "Careca", Said Mwamba "Kizota", Sahau Kambi, Juma Mkambi.
 
Best umenikumbusha tena michezo ya majeshi pale CCP kuanzia soka, basket, netball, kutupa tufe na vikoro koro kibao mikoa yoote it was a full shangwe kwa mwezi mzima kuona manjagu wakipambana aisee....nilikuwa nikitoka shule hadi giza linaingia niko pale...halafu ukirudi home kichapo....

Halafu kumbe ulikaa RAU? Nilikuwa nafika sana pande hizo kuna kinyozi mmoja maarufu sana aliitwa Abunuwasi alikuwa akinyolea chini ya mti hapo RAU....yaani nilikuwa natembea karibu KM 4 kumfuata aisee...

Mida hiyo pia kulikuwa na timu za soka za mashirika ya umma zilikuwa nzuri usipime...mf. Coffe FC, TPC nk halafu kulikuwa pia na Machava FC nimeisikia juzi ndhani imefufuliwa tena.

But all in all Mkuu gfsonwin naona hii trend ya kufa kwa hivi vilabu ni mikoa yote tukianzia na Mwanza Pamba kwishney, Kagera kulikuwa na RTC Kagera ikiwa na mpishi wa mabao aliyeitwa Kasiga Machapati, Pia Tanga Cost ya kina Mgunda na Razack Yusuph ilikuwa tishio bila kuwasahau African Sports ya kina Victor Mkanwa, Mororgoro kukawa na Reli iliyokuwa ikishuka na kupanda daraja kila mwaka ikiwa na wakali kina Dkt Madundo mtambo, then wakaja kina Mbuyu Yondan (Nadhani ni baba yake Kelvin kuna mdau amegusia kw post mojawapo), Mbeya kukawa na Tukuyu Stars ya kina Justine Mtekere na Godwin Aswile (actually Yanga walikuwa wameifanya chuo chao cha mafunzo kwa kuvuna wachezaji wazuri), Songea usipime kukawa na Majimaji ya kina Madaraka Selemani "Mzee wa kiminyio" ambaye alikuwa akiitesa Yanga kama anavyotaka hadi alipokuja Simba. Walikuwepo pia kina Mrope Stephen Nemes nk..Dar kina Plisner enzi za Iddi Pazi na Andrew Godwin, Nyota Nyekundu enzi za kina Omary Mghalike (Mzee wa Offside), Costa Ndunguru...(alikuwa akicheza rafu mbaya!), Idrissa Ngulungu, bila kuisahau RTC Kigoma enzi za kina Sanif Lazaro...dah orodha ni ndefu na muajiri naye ananidai ....


mweeh!!!
wewe uliwakariri kama vile sala ya kitubio??
Binafsi hapo nimemkumbuka Gdwin aswile , madaraka seleman na steven nemens
 
Mkuu, kuna Mtaliano mmoja alikuwa ni bingwa wa kuteleza juu ya theluji (skiing) miaka ya 1990. Jina lake la kwanza ni Alberto. La pili ni neno la Kiswahili ambalo huwezi kuandika humu. Hebu google maneno haya alberto skiing au alberto skier na utaelewa nina maana gani. Vyombo vyetu vya habari vya Bongo vingekuwa na wakati mgumu sana kama bwana huyu angekuwa, kwa mfano, ni mchezaji wa kiwango cha juu Manchester United, Barcelona au klabu nyingine maarufu Ulaya.

Mhn kweli hilo nalijua ukiliweka humu unakula ban hapo hapo.
 
Back
Top Bottom