Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

Majina ya Wachezaji Hawa Ni Burudani Tosha

Yanga 70's

1. Elias
2. Kitenge
3. Boi
4. Gobbos
5. Kapera
6. Mahinya
7. Chitete
8. Gesani
9. Kitwana
10. Dilunga
11. Bomba

Coach: Victor Stanculescue
Manager: Shiraz

Hao walikuwa hawashikiki, ubingwa miaka 5 mfululizo.

Ahsante sana mkubwa mwenzangu .... !
 
Halafu huyo Kipanya Malapa sijui wazazi wake walimpa jina lake la kwanza baada ya kuiona sura yake.....full kipanya!
 
Mada imenisisimua sana nimeshindwa kupita kimya kimya...! Imenkumbusha kina Peter Mjata, Abdalkah Mkali (RIP), Christopher Michael,Juma Salum, Machupa,Duncan Butinini, Duncan Mwamba, Mbuyi Yondan, Abeid Kasabalala, Kahindi,Ally Malilo "Loketo" Abuu Juma, Selemani Msagasumu,Mikidadi Jumanne (Bubu)...Reli Moro enzi izo chini ya Simkoko, kabla ya mechi inaweka kambi Moro T.C na sisi ndo watoto wa kota da...! Siku ya mechi anakuja kinyozi maarufu apo Moro enzi izo anaitwa Buzulu anawanyoa wachezaj wote,anaanza asubuhi na tukibahatisha tunazamia na basi lao la Reli tukikosa ni kudandia miti nuka ya pale Bwalo la Umwema au Viwanja vya gofu huku tunasubiria fungulia "NG'ANG'A" (Mbwa)Wa timu nyingine kuna George enea, china kea (sigara), frank kassanga "Bwalya" Twaha Hamidu "Noriega" ldd Selemani "Mayor, kibode"(ssc), Itutu Kigi "Road master" Karume Songoro,lssa Athumani "Mgaya", Ngandu Ramadhani, salvatus lbrahim "Polisi"(yanga) ushirika moshi kulikuwa na vichwa viwili balaa, Venance Mwakalukwa na Julius Kalambo...Da...!
 
Lillah Shomari (RIP)
Hamisi Gagarino (RIP)
Mohamed Kajole (RIP)
 
daah!! wakati huo rtd inabamba ile mbaya.enzi hizo ushirika inacheza basi watt mnaambiwa mkae home mnaskiliza mpira redion majina ya watu yakitajwa utafikiri unamjua na tulikariri utafikiri majina ya walimu.

Emmanuel Sawala
David Rogers
Fanuel Singano
Poisant Moyo
............
Kocha Dan Koroso.
 
1.Joseph Fungo
2.Yusuf Ismail Bana
3.Freddy Felix Minziro
4.Athumani Juma chama
5.Lawrence Mwalusako
6.Issa Athuman
7.Aboubakar Salum
8. Athuman China
9. Said Mrisho
10. Abeid Mziba
11. Edgar Fongo....

Enzi hizo sikuwa na sababu ya kutokuipenda hii club asiee...
 
Ongezea na hawa
koresheni
kirara
thuweni ally
salehe hija
ally mchumira
nondo mikidadi
ufunguo
muhamed ugando(yanga b)
ombopa(kipa simba)
 
Ally Mayai Tembele



Kama ali mayai tembele basi ale mayai kuku itakuwa poa. (ali maana yake hali au hakulagi si unajua watoto wa kishua kwa kulemba lugha)
 
Asisahaulike Munenge Suluja, halafu Angola kuna jamaa anaitwa Jamba, kizungu inatamkwa yamba. Pale sekondari ya mazengo alikuwepo kyembe duuuu nouma.
 
haya na sisi wengine ni wapita njia tu

lakiin athumani Mambopsasa alitingisha sana golini

Abdala Kibadeni alikuwa pele wa Tanzania

ahmedi Amasha

Mohamed Salum
 
Spear Mbwembwe, Damian Kimti, Mrage Kabange, Abunu Issa, Emmanuel Tenende, Mbuyi Yondani...
 
Hassan Afif....(Kocha Mchezaji) - Simba
Halafu kuna jina linanijia kichwani....Kichochi Lemba sijui alikuwa Pamba?
 
Wako wengi, ngoja tuwaite watunogeshee mambo hapa...wapo wakuu kina Balantanda, WABHEJASANA, mandieta, ndetichia, watu8, Amiliki, Makoye , Amavubi, Konaball Raia Fulani, Fidel80, Katavi, El Toro, bila kumsahau Saint Ivuga na wengineo wengi. Nadhani wana kumbu kumbu nzuri za majina ya wachezaji waliokuwa wakitajwa tu inakuwa burudani tosha...

Mimi wachezaji hawa ndo majina yao yalikuwa yananivutia mkuu wangu....Hawa ni pamoja na wachezaji wa Kenya, Tanzania na Uganda pamoja na wachezaji wa mataifa mengine waliowahi kucheza Tanzania....

1. Ikupilika Nkoba
2. Mkama Ntare
3. Wastara Baribari
4. Mbui Yondani
5. John Kanakamfumu
6. Kingsley Malwilo
7. Chachala Muya
8. Joshua Kilale
9. Jimmy Mored
10. Mackenzie Ramadhani
11. Abdallah Mkali
12. Celstine Sikinde 'Mbunga'
13. Kichochi Lemba
14. Doyi Moke
15. George Ssemogerere
16. Hassan Afif
17. Peter Poka
18. Hussein Mwakuruzo
19. Maonwa Mkami
20. Dhikiri Mchumila
21. Ngandou Ramadhan
22. Frank Kasanga 'Bwalya'
23. Raphael Paul 'RP'
24. Mikidadi Jumanne
25. Juma Burhani
26. Steven Mapunda 'Garincha'
27. Michael Paul
28. Clement Kahabuka
29. Innocent Haule
30. Simai Haji
31. Victor John Bambo
32. Abdul Ramadhan Mashine
33. Damian Morisho Kimti
34. Hezron Mauma
35. Issa Athumani Mgaya
36. Kasongo Athumani Mgaya
37. Twaha Hamidu Makali 'Noriega'
38. Bakari Malima 'Jembe Ulaya'
39. Hamza Mponda
40. Kitwana Suleiman
41. Beya Simba
42. Hamza Mponda
43. David Odhiambo
44. Julius Kalambo
45. Maggid Musisi
46. Mustapha Hozza
47. Awadh Gessani
48. Lila Shomari.
49. Issa Sekatawa
50. Hamza Mtono
51. Duncan Mwamba
52. Juma Bakari Kidishi
53. Fikiri Magoso
54. Modorn Malitoli
55. Julian Albertov
56. Nico Bambaga.
57. Hamis Thobias 'Gaga'
58. David Mihambo
59. Ramadhan Kilambo
60. Athumani Kilambo
61. Sahau Kambi
62. Steven Casmir Nemes
63. Maulid Dilunga
64. Zamoyoni Mogella 'Golden Boy' a.ka DHL
65. Method Mogella 'fundi'
66. Gibson Sembuli
67. Ahmed Amasha
68. Mchunga Bakari
69. Bakari Idd
70. David Mwakalebela
71. Godwin Aswile 'Scania'
72. Stephen Mussa
73. Mbwana Makata
74. Suleiman Mathew Luwongo
75. Juma Pondamali 'Mensah'
76. Riffat Said
77. Ally Bushiri (Kipa)
78. Ally Bushiri (Beki na kiungo wa Pamba)
79. Paul Rwechungura
80. Peter Tino
81. Gebo Peter
82. Razack Yusuph 'Careca'
83. Juma Amir Maftaha
84. Hussein Aman Masha
85. Ally Yusuph 'Tigana'
86. Omary Hussein 'Keegan'
87. Lance Evans Ponera
88. Riffat Said
89. Deo Mkuki
90. Deo Njohole 'OCD'
91. Nicodemus Njohole
92. Spear Mbwembwe
93. Bahatisha Ndulute
94. Manfred Luambano
95. Mohamed Mwameja
96. Patrick Mwangata
97. William Fahnbuller
98. Constantine Kimanda
99. Banza Tshikala
100. Salum Kabunda a.k.a Ninja a.k.a Msudani a.k.a Baba Semeni

Na hapo usikie wakitamkwa na wachezaji wa RTD kama
1. Mshindo Mkeyenge
2.Omary Jongo
3.Dominick Chilambo
4.Charles Martin Hilary
5.Barthlomeo Komba
6.Ahmed Jongo
7.Salim Mbonde
8.Abdallah Idrisa Majura
9. Idd Rashid Mchatta
10.Mikidad Mahmoud 'Brother Mick" na
11.Abdul Ngarawa
 
Huyo jamaa jina lake kamili lilikuwa ni Juma Bakari Kidishi, mchezaji wa zamani wa Malindi ya Zenji....

Hawa jamaa walikwa na timu moja kali sana enzi hizo ikiwajumuisha kina Hassan Wembe, Rifat Said, Edibily Lunyamila, Athanas Michael, Kennedy(Keneth) Malitoli sina uhakika sana na hili jina, pia kulikuwepo na mzungu mmoja toka Bulgaria jina lake limenitoka pia

kenneth Malitoli alikuwa ni mchezaji wa Zambia na mdogo wake Mordon Malitoli. Labda ulikuwa unamaanisha Kenneth Mkapa leftback na team captain wa Yanga kipindi hicho.
 
kikosi bwana kilikuwa hiki,
Juma pondamali/idd msakaa,
mohammed mkweche,
jaffar abdulhaman
rashid idd chama/kassimu matitu
Jellah mtagwa
mohammed Adolf rishard
ally jangalu
hussein ngulungu
ally katolila
peter tino
gordian mapango.
Baadae wakaja vijana kina mohammed yahya tostao, gebbo peter, kassim manara, nk
hii ilikuwa ni PAN African bwana!!!!
 
Back
Top Bottom