zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Tuseme nao[emoji1787]Na hawa akina Mwajuma, Mwanahamisi, Pili, Tatu, Mwanakombo, Mwarami...unawaachaje mkuu!!
[emoji23][emoji23]Ongea yote mwisho Ni. .
"Asha"
"Asha bikini chali"
"Asha mdigo"
"Asha wauwe"
Ni watundu kama majina yao yalivyo complicatedCatherine na Cynthia wamefanyaje?
Cynthia nakataa.Ni watundu kama majina yao yalivyo complicated
Kwanini Catherine unakubali?Cynthia nakataa.
Catherine [emoji818]
Mleta mada amekariri ujingaJina halina uhusiano na tabia ya mtu mkuu,we jidanganye sasa
Wambie mods waipeleke huko sikujua[emoji6]Kwa hiyo unashauri nini?
Yani unatakaje?Nyuzi za kama hizi zinatakiwa kwenda chit chat
Sijakariri lakini unahisi madada wanaoitwa Aisha,Zainabu,Latifah wanatabia zinazoendana na wale wanaoitwa Sharon,Catherine,SabrinaMleta mada amekariri ujinga
Wambie mods waipeleke huko sikujua[emoji6]
Sijakariri lakini unahisi madada wanaoitwa Aisha,Zainabu,Latifah wanatabia zinazoendana na wale wanaoitwa Sharon,Catherine,Sabrina
Mi sijui hata ni kina nani naonaga watu wanawataja tuWaambie mwenyewe
Siku zote ukihisi kisichokuwepo huwa kinakuwepo[emoji6]Acha kuhisi vitu ambavyo havipo