Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Mi sijui hata ni kina nani naonaga watu wanawataja tu
Na wewe wataje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijui hata ni kina nani naonaga watu wanawataja tu
Siku zote ukihisi kisichokuwepo huwa kinakuwepo[emoji6]
Alifikiri jamaa mmoja kama Anaweza kupaa angani akatengeneza ndege ikaweza kupaa kweli (imagination)Hakunaga kitu cha kuhisi kinachotokea siku zote
Tembea uone ujaonana na kina Aisha dunia nzima,usifanye maamuz wakati una insufficient information to support your views.Sijakariri lakini unahisi madada wanaoitwa Aisha,Zainabu,Latifah wanatabia zinazoendana na wale wanaoitwa Sharon,Catherine,Sabrina
Alifikiri jamaa mmoja kama Anaweza kupaa angani akatengeneza ndege ikaweza kupaa kweli (imagination)
Maama[emoji5]nipeleke taratibu sijasomaTembea uone ujaonana na kina Aisha dunia nzima,usifanye maamuz wakati una insufficient information to support your views.
Hapana ila Jina linaweza kuwa na effect kwa mtu na likaharibu Saikolojia siku moja muite mtoto wako Mjinga alfu uone makuzi yakeKwa hiyo huyo jamaa mmoja ndio umehitimisha ni siku zote?
Hapana ila Jina linaweza kuwa na effect kwa mtu na likaharibu Saikolojia siku moja muite mtoto wako Mjinga alfu uone makuzi yake
Actions have reciprocal results always kwa hiyo uwezekano wa jina kuathiri tabia ni mkubwaKumbe linaweza kuwa?(probability)
Maana yake inaweza isiwe
Haya hiyo kauli ya siku zote fasta!!!
Actions have reciprocal results always kwa hiyo uwezekano wa jina kuathiri tabia ni mkubwa
But on my side I can describe your personality by using your nameNi mkubwa lakini sio siku zote!
Sijui kwanini nimemkumbuka "Asha Ngedere"Ongea yote mwisho Ni. .
"Asha"
"Asha Sumaku"
"Asha bikini chali"
"Asha mdigo"
"Asha wauwe"
[emoji23][emoji23]Sijui kwanini nimemkumbuka "Asha Ngedere"
But on my side I can describe your personality by using your name
We bwana usijifanye mtabiri[emoji4] describe maisha yako t maana ndo unayajua.But on my side I can describe your personality by using your name
Mtabiri wa uongo[emoji23]We bwana usijifanye mtabiri[emoji4] describe maisha yako t maana ndo unayajua.
Kwa hiyo kina Kulusumu wote hulelewa vizuri Ila Kina Rujaina hulelewa vizuri[emoji23]Tabia ya mtu inatokana na malezi acha upotoshaji
Kwa hiyo kina Kulusumu wote hulelewa vizuri Ila Kina Rujaina hulelewa vizuri[emoji23]