Majina ya Wajumbe wa PCT yaliyopelekwa Ikulu ya Kiwete Haya hapa!!

Majina ya Wajumbe wa PCT yaliyopelekwa Ikulu ya Kiwete Haya hapa!!

Hatutaki wabaguzi tanzania

Hivi wewe unafanya kazi za maendeleo wakati gani? Nimefuatilia upo humu kutetea CCM 24/7 au hiyo 7 thousand inakutosheleza? Fanya kazi kijana maana baada ya miezi kadhaa hicho chama hakitakulipa tena kwa vile hakitakuwa na fedha na umuhimu wako hautakuwepo. Pole sana.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kumekuwa na malumbano makali juu ya majina ya wajumbe wa PCT yaliyo pelekwa ofisi ya Ikulu lakini yakatupwa.
Utafiti unaonyesha kuwa kutupwa kwa majina hayo kulifanyika kwa makusudi lakini baada ya kufanya hivyo sasa wahusika wanalaumiana.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Leornadi Manyama ( Mwanasheria wa PCT)
2.Askofu Pau Shemsanga(0652 297358)
3.Askofu Bathoromeo Shega

4.Askofu Bruno Mwakiblwa.
5.Yohana Masinga
6.Rejoyce Ndalima
7.Askofu Eric Mwambigija
8.Askof Banabas Mtokambali( Askofu Mkuu wa TAG)
9.Askofu Davidi Andulile Mwasota( Katibu Mkuu PCT)

Aidha imebainika kuwa serikali ilitaka kuweka vibaraka wao katika majina haya ambapo Askofu Pius Ikongo , Mch. Antony Lusekelo na askofu Gamanywa walikuwa wameandaliwa kama jinsi ilivyofanya katika makundi mengine.
Hofu nyingine imebainika kuwa PCT walikuwa na msimamo wa serikali tatu ambapo ni mwiba wa CCM.
Mtu anayetajwa kuyapokea majina hayo Ikulu na kufanya nao mawasiliano ni Mwanamke ambaye bado sijapata jina lake.

Hata hivyo baada ya Gazeti la Jibu la Maisha kuanika ukweli Ikulu iliwaita Kinyemela Baadhi ya Maaskofu na kuwadanganya kuwa wanyamaze kimya kwani Rais Kikwete anafanya utaratibu wa Kuwateua jambo ambalo liliwafanya wanyamaze kimya.

Hadi leo hatkuna kilichofanyika na Kikwete anazidi kupeta>

Kwa hiyo?
 
jamani ni ukwel usio pinda kwamba kundi la pct huwezi litupilia mbali hivyo ko walichofanya wameprove nothing ila Mungu akitaka kuangamiza huwapa waangamiao mioyo migumu ili waende jk atakua kama farao
 
Nchi hii kila kichochoro ni usanii mtupu, ikulu hata kutazamika kwasasa ni aibu tupu
 
Peleka uchadema wako kule


U-CHADEMA umeuingizaji humu???

Kama sio wewe ndio Umejaa U-CCM,Mnatubagua kidini,Kutugawa na Kuwatenga wengine mpaka kwenye Masuala Nyeti ya Kitaifa kama hilia BUNGE LA KATIBA na HATIMA YA NCHI YETU KUELEKEA KWENYE KATIBA MPYA.
 
U-CHADEMA umeuingizaji humu???

Kama sio wewe ndio Umejaa U-CCM,Mnatubagua kidini,Kutugawa na Kuwatenga wengine mpaka kwenye Masuala Nyeti ya Kitaifa kama hilia BUNGE LA KATIBA na HATIMA YA NCHI YETU KUELEKEA KWENYE KATIBA MPYA.

Mliobaguliwa mko wangapi kwenye bunge la katiba?
 
Sasa Kwanini walipoambiwa Wanyamaze kimya na wao wakanyamaza? Ndio hili liliingizwa hapo
 
FaizaFoxy suala sio jina bali ni kundi la Wakristo wa madhehebu ya Pentecoste wapatao milioni 10 majina waliyopendekeza kutupwa yote.
 
Weka barua yao iliyotumika kupeleka majina hayo ili uaminike zaidi mnakaa kutunga uongo sijui kwa faida ya nani.
 
Kumekuwa na malumbano makali juu ya majina ya wajumbe wa PCT yaliyo pelekwa ofisi ya Ikulu lakini yakatupwa.
Utafiti unaonyesha kuwa kutupwa kwa majina hayo kulifanyika kwa makusudi lakini baada ya kufanya hivyo sasa wahusika wanalaumiana.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Leornadi Manyama ( Mwanasheria wa PCT)
2.Askofu Pau Shemsanga(0652 297358)
3.Askofu Bathoromeo Shega

4.Askofu Bruno Mwakiblwa.
5.Yohana Masinga
6.Rejoyce Ndalima
7.Askofu Eric Mwambigija
8.Askof Banabas Mtokambali( Askofu Mkuu wa TAG)
9.Askofu Davidi Andulile Mwasota( Katibu Mkuu PCT)

Aidha imebainika kuwa serikali ilitaka kuweka vibaraka wao katika majina haya ambapo Askofu Pius Ikongo , Mch. Antony Lusekelo na askofu Gamanywa walikuwa wameandaliwa kama jinsi ilivyofanya katika makundi mengine.
Hofu nyingine imebainika kuwa PCT walikuwa na msimamo wa serikali tatu ambapo ni mwiba wa CCM.
Mtu anayetajwa kuyapokea majina hayo Ikulu na kufanya nao mawasiliano ni Mwanamke ambaye bado sijapata jina lake.

Hata hivyo baada ya Gazeti la Jibu la Maisha kuanika ukweli Ikulu iliwaita Kinyemela Baadhi ya Maaskofu na kuwadanganya kuwa wanyamaze kimya kwani Rais Kikwete anafanya utaratibu wa Kuwateua jambo ambalo liliwafanya wanyamaze kimya.

Hadi leo hatkuna kilichofanyika na Kikwete anazidi kupeta>

Embu toa upumbavu wako hapa, haiwezekani kila mtu awe mjumbe bunge la katiba. Hawa waliopo wanatosha kabisa kutuwakilisha na kupa katiba inayoeleweka!..
Acheni tamaa ya posho!
 
Back
Top Bottom