KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 875
- Thread starter
- #21
Huyo Mwache kwa kuwa ni kipeperushi cha CCMOna nalo hili mambo ya kitaifa linaingiza uchama hapa, watu kama hawa ni vitasa tu ukiingia kwenye 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mwache kwa kuwa ni kipeperushi cha CCMOna nalo hili mambo ya kitaifa linaingiza uchama hapa, watu kama hawa ni vitasa tu ukiingia kwenye 18
Hatutaki wabaguzi tanzania
namba ngapi mkuu?Huyu namba ana mwanae ni mtumishi wa bunge pale dodoma,
Kumekuwa na malumbano makali juu ya majina ya wajumbe wa PCT yaliyo pelekwa ofisi ya Ikulu lakini yakatupwa.
Utafiti unaonyesha kuwa kutupwa kwa majina hayo kulifanyika kwa makusudi lakini baada ya kufanya hivyo sasa wahusika wanalaumiana.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Leornadi Manyama ( Mwanasheria wa PCT)
2.Askofu Pau Shemsanga(0652 297358)
3.Askofu Bathoromeo Shega
4.Askofu Bruno Mwakiblwa.
5.Yohana Masinga
6.Rejoyce Ndalima
7.Askofu Eric Mwambigija
8.Askof Banabas Mtokambali( Askofu Mkuu wa TAG)
9.Askofu Davidi Andulile Mwasota( Katibu Mkuu PCT)
Aidha imebainika kuwa serikali ilitaka kuweka vibaraka wao katika majina haya ambapo Askofu Pius Ikongo , Mch. Antony Lusekelo na askofu Gamanywa walikuwa wameandaliwa kama jinsi ilivyofanya katika makundi mengine.
Hofu nyingine imebainika kuwa PCT walikuwa na msimamo wa serikali tatu ambapo ni mwiba wa CCM.
Mtu anayetajwa kuyapokea majina hayo Ikulu na kufanya nao mawasiliano ni Mwanamke ambaye bado sijapata jina lake.
Hata hivyo baada ya Gazeti la Jibu la Maisha kuanika ukweli Ikulu iliwaita Kinyemela Baadhi ya Maaskofu na kuwadanganya kuwa wanyamaze kimya kwani Rais Kikwete anafanya utaratibu wa Kuwateua jambo ambalo liliwafanya wanyamaze kimya.
Hadi leo hatkuna kilichofanyika na Kikwete anazidi kupeta>
Peleka uchadema wako kule
???????????????????????????????????????????????hao jk hakuwasahau....>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>Shamim Khan
Anawakilisha BAKWATA ? Anaongoza Msikiti gani?
???????????????????????????????????????????????hao jk hakuwasahau....>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
U-CHADEMA umeuingizaji humu???
Kama sio wewe ndio Umejaa U-CCM,Mnatubagua kidini,Kutugawa na Kuwatenga wengine mpaka kwenye Masuala Nyeti ya Kitaifa kama hilia BUNGE LA KATIBA na HATIMA YA NCHI YETU KUELEKEA KWENYE KATIBA MPYA.
mbona walokole hawana gender balance?majina almost yote mbona wanaume?!
Anawakilisha BAKWATA.
Misikiti haiongozwi kama kanisa, kumbuka hilo.
Kumekuwa na malumbano makali juu ya majina ya wajumbe wa PCT yaliyo pelekwa ofisi ya Ikulu lakini yakatupwa.
Utafiti unaonyesha kuwa kutupwa kwa majina hayo kulifanyika kwa makusudi lakini baada ya kufanya hivyo sasa wahusika wanalaumiana.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Leornadi Manyama ( Mwanasheria wa PCT)
2.Askofu Pau Shemsanga(0652 297358)
3.Askofu Bathoromeo Shega
4.Askofu Bruno Mwakiblwa.
5.Yohana Masinga
6.Rejoyce Ndalima
7.Askofu Eric Mwambigija
8.Askof Banabas Mtokambali( Askofu Mkuu wa TAG)
9.Askofu Davidi Andulile Mwasota( Katibu Mkuu PCT)
Aidha imebainika kuwa serikali ilitaka kuweka vibaraka wao katika majina haya ambapo Askofu Pius Ikongo , Mch. Antony Lusekelo na askofu Gamanywa walikuwa wameandaliwa kama jinsi ilivyofanya katika makundi mengine.
Hofu nyingine imebainika kuwa PCT walikuwa na msimamo wa serikali tatu ambapo ni mwiba wa CCM.
Mtu anayetajwa kuyapokea majina hayo Ikulu na kufanya nao mawasiliano ni Mwanamke ambaye bado sijapata jina lake.
Hata hivyo baada ya Gazeti la Jibu la Maisha kuanika ukweli Ikulu iliwaita Kinyemela Baadhi ya Maaskofu na kuwadanganya kuwa wanyamaze kimya kwani Rais Kikwete anafanya utaratibu wa Kuwateua jambo ambalo liliwafanya wanyamaze kimya.
Hadi leo hatkuna kilichofanyika na Kikwete anazidi kupeta>
Waislaam bakwata hawaitambui