Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

Mbona naskia ardhi ni kama vyuo mbuzi vingine, simply msuli wake ni lelemama sana, mi kuna jamaa kamaliza hapo mwaka huu alikuwa anapiga bulding economy yani jamaa alikuwa anashinda maisha club na bilcnz so inshortly hapo hakuna msuli full maGPA makubwa bila efforts.

Muige uumie...
 
Wadau naombeni mtu mwenye access na mtandao hapo karibu aniangalizie jina la
PETER JOSEPHAT
 
Mbona naskia ardhi ni kama vyuo mbuzi vingine, simply msuli wake ni lelemama sana, mi kuna jamaa kamaliza hapo mwaka huu alikuwa anapiga bulding economy yani jamaa alikuwa anashinda maisha club na bilcnz so inshortly hapo hakuna msuli full maGPA makubwa bila efforts.

Ardhi hakuna shule ngumu kama jamaa alivotisha but kuna school kama tatu ni za motoooo hiyo ya BE ani SCEM na SURP(mipango miji) hizi zinaunafuu but kwingine kuna balaa
 
Back
Top Bottom