Majina ya waliochaguliwa Vyuo vya Afya yashatangazwa?

Majina ya waliochaguliwa Vyuo vya Afya yashatangazwa?

Hoprful

New Member
Joined
Aug 24, 2021
Posts
3
Reaction score
0
Eti wameshatangaza waliochaguliwa vyuo vya afya au bado maana walisema wanatangaza 22/8 nao mpka sasa hivi sijasikia kitu.

Naombeni msaada hapo
 
Eti wameshatangaza waliochaguliwa vyuo vya afya au bado maana walisema wanatangaza 22/8 nao mpka sasa hivi sijasikia kitu.

Naombeni msaada hapo
Vyuo vya private vinaendelea kutangaza waliowachagua.... Ila hao NACTE ni kweli walisema tarehe 22 ila hadi leo bado hawajatangaza
 
Vyuo vya private vinaendelea kutangaza waliowachagua.... Ila hao NACTE ni kweli walisema tarehe 22 ila hadi leo bado hawajatangaza
Duh!au ndo wanachelewa kutoa nn.maana siku zinaenda tuu
 
Tayari ingia website ya nacte ukaangalie
 
Nacte selection sio poa 😅 watu wanaliwa vichwa 😥

Screenshot_20210829-132939_1.png
 
Back
Top Bottom