clever boy ze don Member Joined Jun 25, 2013 Posts 65 Reaction score 11 Jul 22, 2013 #1 NDUGU HABARINI; KWA YOYOTE ANAYEJUA KUHUSU KUTOKA KWA MAJINA KWA WALE WALIO KOSEA KATIKA FOMU ZA BODI ANIJUZE. :help::help::help:
NDUGU HABARINI; KWA YOYOTE ANAYEJUA KUHUSU KUTOKA KWA MAJINA KWA WALE WALIO KOSEA KATIKA FOMU ZA BODI ANIJUZE. :help::help::help:
irumba1 JF-Expert Member Joined May 10, 2013 Posts 882 Reaction score 321 Jul 22, 2013 #2 Hata mimi ninahamu ya kufahamu tujuzeni wana jf
K kapu JF-Expert Member Joined Dec 27, 2012 Posts 218 Reaction score 44 Jul 22, 2013 #3 hawajatoa hayo majina .
chambile Member Joined Jul 19, 2013 Posts 14 Reaction score 2 Jul 22, 2013 #4 jaman tujuzena wana jf coz tunawekana roho ju....
M Molembe JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 9,917 Reaction score 11,801 Jul 22, 2013 #5 Watanzania tunapenda rumours sana.
O oil sumu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 787 Reaction score 47 Jul 23, 2013 #6 hawawez kutoa wakat deadline bado
B Bennie Da Glory New Member Joined Jul 20, 2013 Posts 2 Reaction score 0 Jul 23, 2013 #7 vuta subira matokeo ya waliopewa mkopo yakitoka, siku kadhaa baadae na mliokosea mtaitwa kufanya marekebisho.
vuta subira matokeo ya waliopewa mkopo yakitoka, siku kadhaa baadae na mliokosea mtaitwa kufanya marekebisho.