Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Wanajamvi,
Hayawi hayawi sasa yamekua. Naona TAMISEMI na DAs wengine wameanza kuachia mikeka. Leo ni zamu ya Dar Es Salaam. Hongereni sana kwa mliopata.
Wengine tuendelee kusubiri.
NOTE: Ikitokea nafasi omba. Unaweza omba Songea ukaibukia TMDA
Wengine tuendelee kusubiri.
NOTE: Ikitokea nafasi omba. Unaweza omba Songea ukaibukia TMDA