Majina ya Walioitwa kazini - TMDA

Majina ya Walioitwa kazini - TMDA

Ze Heby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
5,636
Reaction score
6,178
Wanajamvi,

Hayawi hayawi sasa yamekua. Naona TAMISEMI na DAs wengine wameanza kuachia mikeka. Leo ni zamu ya Dar Es Salaam. Hongereni sana kwa mliopata.

Wengine tuendelee kusubiri.

NOTE: Ikitokea nafasi omba. Unaweza omba Songea ukaibukia TMDA
 

Attachments

Back
Top Bottom