Majina ya waliopa mkopo.

Majina ya waliopa mkopo.

wewe vipi unaulza au aah mi nilijua unasema yametoka
 
Mimi sijaona,kwani aliyekuambia amesema yamekuwa displayed wapi? Alafu edit hiyo title,kuna neno halionekani vizuri.
 
ningejua kilichoandikwa ndani wala nisingeopen kusoma mkuu vipi hukufundishwa kuandika vichwa vya habar au barua shule ya msingi au ndo umesha sahaau.
​
 
ningejua kilichoandikwa ndani wala nisingeopen kusoma mkuu vipi hukufundishwa kuandika vichwa vya habar au barua shule ya msingi au ndo umesha sahaau.
​

Amenchosha na mimi pia nimefungua fasta kumbe swali!
 
Back
Top Bottom