mimi nilikuwaga chuo nikapataga matatizo na nikashindwa kuendelea na masomo,inshort nilipataga ajali nikapotezaga fahamu na nikawa sijitambui kwa muda kama miezi miwili hivi n mitihani ilikuwa inaendelea chuo kipindi hicho,sasa kitendo cha kutoshiriki ile mitihani halafu istoshe watu wangu wa karibu hawakuweza kutoa taarifa mapema kwahiyo nikawa direct discontinued nilipoenda baadae kutoa taarifa wakaniambia no way out inabidi tu niombe maombi upya kama first time aplicant.sasa ukiwa unaomba upya na bodi napo inabidi uombe upya,sasa nilipoenda bodi ndio wakaniambia inabidi kwanza nilipe asilimia 25 ya kiasi ambacho nilishapewa wakati nasoma then ndio niombe upya ndio nitapewa.sasa nikajitahidi kutafuta hiyo 25% na nikawalipa na kutuma maombi bt ndio naangalia nw naona wameninyima.imeniuma sana,bora kama ningejua hawanipi hicho kiasi bora tu ningeongezea nikaenda kujilipia ada nianze masomo