Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Wale endeleeni kuwafuga huko kwenu huku hawana chao...Ngawira zao zimeliwa wameambulia Solemba na Valuvalu Wapi wapi chambuzi barUnadhani orodha ya Wagombea imeratibiwa wapi?!
Umewasahau COVID 19 mara hii?🐼
Munofu hela 😂😂😂😂Hayo maneno hata kwenye khanga za KTM yapo
Tabora,kigoma,kataviMagharibi ni wapi? Maana huyu kila siku yuko Dar tu, huko Magharibi anakaaga lini? Akina Malisa wamemzunguka tu wanamuomba hela
Hatuwataki wauwaji haoTunakushukuru kwa kuifuatilia Chadema
Kama unataka vioja ni lazima ufuatilie hiki chamaTunakushukuru kwa kuifuatilia Chadema
Yeye ni wa kudumu pale kanda ya kaskazini ,analindwa na binamu yakeGodless lema vipi
Yule mshenzi anaitwa Vitus sijui takataka gani hodari wa kutukana matusi kule Twitter hapaswi kupewa nafasi yoyote ya uongozi. Abaki kuwa mpiga kelele na yule kijana mwenzake mwenye mdomo mchafu wakuitwa MartinJina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa
View attachment 2993148View attachment 2993149
Wanaumuomba hela nani?Magharibi ni wapi? Maana huyu kila siku yuko Dar tu, huko Magharibi anakaaga lini? Akina Malisa wamemzunguka tu wanamuomba hela
Usiondoke JFGodless lema vipi
Ndo maana huwa unapenda kusema mabaya ya wengine kwa sababu habari za chama chako hazina mvuto tena?Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa
View attachment 2993148View attachment 2993149
John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria
View attachment 2993198
Hazina mvuto ila umekuja!Ndo maana huwa unapenda kusema mabaya ya wengine kwa sababu habari za chama chako hazina mvuto tena?
Hivi hiki ndo kile Chama Kikuu cha Upinzani kwa maneno yenu, au tusibiri kuna kingine kinakuja?
Baada ya kutembeza mlungura majina yatolewa hadharani!Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa
View attachment 2993148View attachment 2993149
John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria
View attachment 2993198
Mafisadi hata mkichaguana,inatusaidia nini sisi?Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.
Dickson Lucas Matata
Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.
===
Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa
View attachment 2993148View attachment 2993149
John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria
View attachment 2993198
Hakuna lolote.Magharibi Sisiemu mmekwisha ...Chadema hesabu za mbali
Kweli cdm ina wapenzi wengi na wanafunzi wa siri.Yameanzaje kuwekwa hadharani mara ya pili wakati mimi nimetumiwa majina yoote kwa kanda zote? Kweli Upo nyuma sana ndugu yangu na rafiki yangu Erythrocyte. Mimi ninayo yote na kila kitu ila sijataka kuandika wala kuingilia jambo hilo.
Ngoja tuchunguzePambalu kapewa na nani hela ya kuweka bango hapo? Isije kuwa ndio hela za Abdul na mama yake
Yohana Mbatizaji naomba unisaidie kidogo; mbona jina linatoka Moja Moja kama CCM ya Mwalimu Nyerere?Tumeshayapata Kitambo sana kwa kamanda Pambalu 😀