Pre GE2025 Majina ya Walioteuliwa kugombea Uenyekiti wa Kanda za CHADEMA yaanza kuwekwa hadharani

Pre GE2025 Majina ya Walioteuliwa kugombea Uenyekiti wa Kanda za CHADEMA yaanza kuwekwa hadharani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.


Dickson Lucas Matata

Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.

===

Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .

Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa

View attachment 2993148View attachment 2993149
Yule mshenzi anaitwa Vitus sijui takataka gani hodari wa kutukana matusi kule Twitter hapaswi kupewa nafasi yoyote ya uongozi. Abaki kuwa mpiga kelele na yule kijana mwenzake mwenye mdomo mchafu wakuitwa Martin
 
Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.


Dickson Lucas Matata

Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.

===

Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .

Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa

View attachment 2993148View attachment 2993149

John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria

View attachment 2993198
Ndo maana huwa unapenda kusema mabaya ya wengine kwa sababu habari za chama chako hazina mvuto tena?
Hivi hiki ndo kile Chama Kikuu cha Upinzani kwa maneno yenu, au tusibiri kuna kingine kinakuja?
 
Ndo maana huwa unapenda kusema mabaya ya wengine kwa sababu habari za chama chako hazina mvuto tena?
Hivi hiki ndo kile Chama Kikuu cha Upinzani kwa maneno yenu, au tusibiri kuna kingine kinakuja?
Hazina mvuto ila umekuja!
 
Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.


Dickson Lucas Matata

Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.

===

Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .

Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa

View attachment 2993148View attachment 2993149

John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria

View attachment 2993198
Baada ya kutembeza mlungura majina yatolewa hadharani!
 
Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi.


Dickson Lucas Matata

Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya Uwenyekiti Kanda ya Magharibi. Uchaguzi katika Kanda hiyo utakaofanyika tarehe 29 Mei, 2024 na kusimamamiwa na Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.

===

Usiondoke JF kwa vile tutakuletea majina mengine na kanda zake kwa kadri yanavyoendelea kutolewa .

Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi wateuliwa Kanda ya Nyasa

View attachment 2993148View attachment 2993149

John Pambalu ateuliwa kugombea Kanda ya Victoria

View attachment 2993198
Mafisadi hata mkichaguana,inatusaidia nini sisi?
 
Back
Top Bottom