BlackGold_
Member
- May 31, 2013
- 94
- 27
post tar 19 ndo zinatoka
usijali, mbona amefaulu 4m4 vizuri pia kule nako kuna mtihani wa necta, hivyo usiwe na wasiwasi na wanao wataelewa tu!Watoto wetu wanashida huko mashuleni. Mtu Kiswahili anachoandika humu kibovu mpaka basi utadhani mkimbizi halafu huyo ndiyo anakuja kumfundisha mwanao!!
Dahh jamani div 5 hizi kazi ipo!!
wadau naombeni mnichekie no.hii s0367/0023 shukrani!
BALTAZARY MUSHY aliomba ordinary diploma of primary education ya udom.shukrani!
Nani kakwambia udom wametoa?
Hayo ni ya wizara.