WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji 2012.
Orodha ya wanafunzi hao hii hapa: Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji 2012 | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
Si ndio hapo. Mi nimesoma pre form five hadi nimechoka. Watoe majina twende zetu skonga.
Hivi hili baraza mwaka huu lina nini au ndo kusema wameshndwa kazi. Matokeo wacheleweshe Selection ndo hamna hata fununu aarrghhh, tunashndwa hata kuwaandaa watoto wetu
Si ndio hapo. Mi nimesoma pre form five hadi nimechoka. Watoe majina twende zetu skonga.
usiwe na hofu utapelekwa tu huko kantalamba..
usiwe na hofu utapelekwa tu huko kantalamba..
Umesoma ya HGL wanakupanga ECA cjui ndo utakuwa umefanya nini
Nimesikia bado wanafanya selection huko Arusha
nimeshapangiwa ninachoenda kusoma. Nataka yatoke rasmi na wengine wajijue.
Hivi hili baraza mwaka huu lina nini au ndo kusema wameshndwa kazi. Matokeo wacheleweshe Selection ndo hamna hata fununu aarrghhh, tunashndwa hata kuwaandaa watoto wetu
Hivi hili baraza mwaka huu lina nini au ndo kusema wameshndwa kazi. Matokeo wacheleweshe Selection ndo hamna hata fununu aarrghhh, tunashndwa hata kuwaandaa watoto wetu
usiwe na hofu utapelekwa tu huko kantalamba..
History ndio imeangusha raia, na business mwaka huu ilikua balaa sana, ngoja tuone tunatupiwa wapi maana www.moe.go.tz kwa sasa haipatikani hewan...