bado mnataka tu?????
Ndio tuko kamili na tumejiandaa kikamilifu. Eehhhh endelea basi
hii sredi ilianza na ugomvi v/s ushindani, lakini naona inaishia na kutongozana hehehe JF bana.
mchuchu
same here. dah! sikukushtukia mazee! naona waarabu wamekugeuza simba gafla! hehehe ile toto made in abuzabi iko wapi? nimeimiss kweli aisee lolchiefffffffff editor cool to see ya maan
Ok, nakupenda sana kiluzi changu
same here. dah! sikukushtukia mazee! naona waarabu wamekugeuza simba gafla! hehehe ile toto made in abuzabi iko wapi? nimeimiss kweli aisee lol
dah kumbe upo? nakuandikia bonge la poem la kiingereza. hehehe dah nakupenda kuliko jenereta linavyopenda mafuta.unaanza.....
same here. dah! sikukushtukia mazee! naona waarabu wamekugeuza simba gafla! hehehe ile toto made in abuzabi iko wapi? nimeimiss kweli aisee lol
dah kumbe upo? nakuandikia bonge la poem la kiingereza. hehehe dah nakupenda kuliko jenereta linavyopenda mafuta.
mhh! Siamini ndio maana nina hamu ya kukuona.
Tena tele
naongezea nguvu kwa wadada, DODI, SACCOS, DECI, ZOAZOA,
naongezea nguvu kwa wadada, DODI, SACCOS, DECI, ZOAZOA,