Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,061
Tena tele
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea
hii sredi ilianza na ugomvi v/s ushindani, lakini naona inaishia na kutongozana hehehe JF bana.
hehehe kina nani? chadema?washindwe na walegee viungo.
hehehe kina nani? chadema?
Yaani she is so big,that if you have no testicles to act as a brake you could end up sinking inside,these type of girls are called BRAKE PUMBU
mwanaume suruali.
hao wanatongozana. Chadema haishindwi. Ipo juu kama povu la bia.
Hahahahaaaakalumekenge
mbuzi wa hitma
yaani umeshaanza kunisema vibaya.
Opposite =pipa = mwenye kifanywa kikubwa.
Hahahahaaa ole wako ukohoe tu unaanza zoezi la kukisaka upyaaa mwe utadhani kaulimi ka mjusi..haswaa,mbona nilijuta mwenzio. Yaani kiduchu,kifupi,chembamba. Mh,nilimtosa bila hata kuifikiria.
Sio taahira tu, **** huyo.Husninyo mpenzi umesahau wakati mwingine huwa tunayaita taahira
ndio. Ushindwe na ulegee kiungo.
mchuchu
nilegee kiungo kipi hicho?
kinachokupa ujeuri.
ndio. Ushindwe na ulegee kiungo.