Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
wewe mie singei na we hapa ka unataka nikute kwenye chat room
mie sikutaki....
na kwa heri
Kama sitaki na taka vile twende zetu home bwana hapa miyeyusho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mie singei na we hapa ka unataka nikute kwenye chat room
mie sikutaki....
na kwa heri
Dah! Leo kazi iponani aibe password yako baby wakati tunajua mm na ww tu!KWANI HUKUMWAMBIA UMEONJA ASALI NA UNATAKA KUCHONGA MZINGA?TELL AFRODENZI UKWELI U KNW SHE WILL LOVE U MORE WITH UR BEAUTIFUL LIE!:love::love::love:
Kama sitaki na taka vile twende zetu home bwana hapa miyeyusho
maaaaaamaaaaa wewewewe:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:
Dah! Leo kazi ipo
Hebu acha umbea na uchonganishi hukoSound namba mbili hiyo
Dah! Leo kazi ipo
usilie sana mpz hawezi kuisha huyo si unajua si sabuni!lia kidogo tu pia elewa yuko sehem salama anakula taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu!😛eace:😛eace:😛eace:
ok..ok... namie ngoja nichati...Acid imeshachakachuliwa na kuwa chat room
Tanga kunani tena babu?ok..ok... namie ngoja nichati...
ila tanga balaa, thank you carmel
Yamekuwa hayo unakumbuka ishu yako na hashy nilikusameheendelea tu x- wangu..
kila lakheri nsa safari yako
mie narudi nyumbani..
kwanza wengi watafurahi kusikia niko single..
kwa heri....
Do you believe everything?
ok..ok... namie ngoja nichati...
ila tanga balaa, thank you carmel
Dah! Aiseeusilie sana mpz hawezi kuisha huyo si unajua si sabuni!lia kidogo tu pia elewa yuko sehem salama anakula taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu!😛eace:😛eace:😛eace:
hapa kugeuka hawezi kwa maufundi niliyonayo ni ALUTA.........,ila mm mwenyewe siwezi kukaa na mtu mmoja so ww endelea kuwa mpole nipe kama miezi miwili tu nimtumie then ntakurudishia wa hubani wako!:tongue:
Do you believe everything?
Ohooo hivyo tena ila twende kwenye signature ndo chat room imekuwa poa hii naona imepooza
Do you believe everything?
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea