Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah akina baraka wanagonga mademu hatari sana na Wana kismartAkina Baraka hujakosea...
Hahaaaaaa!!!!!Mwajuma ni balaa ila Amina sijawai kumuona katulia
I'D yako ngeni ujueKitambo hatujaonana kabisa ndugu yangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unazingua mkuu...kuna jina hapo halistahili kuwepo [emoji30]
Nimekusahau aiseeeKitambo hatujaonana kabisa ndugu yangu.
Ndugu yako Lumumba.Nimekusahau aiseee
Nimekusoma chief sema nipo chaka kwenye kazi za watuNdugu yako Lumumba.
[emoji16][emoji16][emoji16]Nimekusoma chief sema nipo chaka kwenye kazi za watu
Siku nilipokea namba ngeni akajitambulisha Doctor Mudy nikacheka nikamwambia uongo sipendi hakuna doctor anaeitwa Mudy akashangaa nikamkatia cm akapiga akakiri yeye si doctor.
Felister na Anna wee acha tuUnazingua mkuu...kuna jina hapo halistahili kuwepo 😩
Asante kwa salamu chiefHahaha ,mzee mwenzangu nakusalimu.