Majini na Uislamu, elephant in the room!

Majini na Uislamu, elephant in the room!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
soma kuhusu sayansi ya majini kama unataka kuulewa uislamu vizuri, majini yanatambulika hata na kitabu kitukufu cha uislamu Kuran.

waislamu wanaamini kabisa uwepo wa majini kama ulishawahi kuishi na wanao practice uislamu utakuwa ulishuhudia vitu na mambo ya ajabu kuhusu majini.

Kuamini uwepo wa Majini is the elephant in the room, inaelezea why so much suffering and sadism exists, why mauaji ya albino na kuchukuwa viungo, why no umeme wakati hakuna sababu yoyote ya msingi inayoelezwa na kueleweka, kwanza walisema wanatengeneza mitambo, muda ukapita wakahamia kwenye ukame, mvua zimenyesha wanasema maji hayafiki kwenye vyanzo uongo mweupe huku mateso yakiendelea, no explanation for that isipokuwa imani ya uwepo wa majini …

 
soma kuhusu sayansi ya majini kama unataka kuulewa uislamu vizuri, majini yanatambulika hata na kitabu kitukufu cha uislamu Kuran.

waislamu wanaamini kabisa uwepo wa majini kama ulishawahi kuishi na wanao practice uislamu utakuwa ulishuhudia vitu na mambo ya ajabu kuhusu majini.

Kuamini uwepo wa Majini is the elephant in the room, inaelezea why so much suffering and sadism exists, why mauaji ya albino na kuchukuwa viungo, why no umeme wakati hakuna sababu yoyote ya msingi inayoelezwa na kueleweka, kwanza walisema wanatengeneza mitambo, muda ukapita wakahamia kwenye ukame, mvua zimenyesha wanasema maji hayafiki kwenye vyanzo uongo mweupe huku mateso yakiendelea, no explanation for that isipokuwa imani ya uwepo wa majini …

Mbona hoja yako haiko clear? What exactly, you argue in that rascal?

Dini zote Zina spiritual believes zikihusisha maelezo ya uchawi, ulozi, viumbe visivyoonekana na supernatural power. Dini zote za Abraham znaelezea malaika, mitume na majini. Zinataja pia uwepo wa maajabu na matendo yasioelezeka yakaeleweka kwa uzoefu wa maisha ya mwanandam wa kawaida.

Hiv unajua dhana ya ukubwa wa watu wa zamani, ambao dini umezieleza?. Hatuna ya mguu wa kulia inaonekana Asia na hatua ya mguu wa kushoto ikaonekana ugiriki
 
Sayansi kuelezea majini ....Ina maana Sayansi ndio Uchawi wenyewe ?
 
Confused.
What exactly do you wanna say? Seems you, too, dunno what you tryna say.
Waiter leta nyingine.
 
Why no umeme
20230929_221501.jpg
 
soma kuhusu sayansi ya majini kama unataka kuulewa uislamu vizuri, majini yanatambulika hata na kitabu kitukufu cha uislamu Kuran.

waislamu wanaamini kabisa uwepo wa majini kama ulishawahi kuishi na wanao practice uislamu utakuwa ulishuhudia vitu na mambo ya ajabu kuhusu majini.

Kuamini uwepo wa Majini is the elephant in the room, inaelezea why so much suffering and sadism exists, why mauaji ya albino na kuchukuwa viungo, why no umeme wakati hakuna sababu yoyote ya msingi inayoelezwa na kueleweka, kwanza walisema wanatengeneza mitambo, muda ukapita wakahamia kwenye ukame, mvua zimenyesha wanasema maji hayafiki kwenye vyanzo uongo mweupe huku mateso yakiendelea, no explanation for that isipokuwa imani ya uwepo wa majini …

Sijaelewa mkuu! Unaweza ukarudia kuandika upya? Ulimaamisha nini hasa?
 
soma kuhusu sayansi ya majini kama unataka kuulewa uislamu vizuri, majini yanatambulika hata na kitabu kitukufu cha uislamu Kuran.

waislamu wanaamini kabisa uwepo wa majini kama ulishawahi kuishi na wanao practice uislamu utakuwa ulishuhudia vitu na mambo ya ajabu kuhusu majini.

Kuamini uwepo wa Majini is the elephant in the room, inaelezea why so much suffering and sadism exists, why mauaji ya albino na kuchukuwa viungo, why no umeme wakati hakuna sababu yoyote ya msingi inayoelezwa na kueleweka, kwanza walisema wanatengeneza mitambo, muda ukapita wakahamia kwenye ukame, mvua zimenyesha wanasema maji hayafiki kwenye vyanzo uongo mweupe huku mateso yakiendelea, no explanation for that isipokuwa imani ya uwepo wa majini …


Mbona unahamisha goli?

Majini, uislam, elephant, mvua, umeme
 
Back
Top Bottom