Wabongo mafala sana. Kuna mganga mmoja alikuwa anachukua unga fulani, anauweka kwenye karatasi na kujidai kupiga manyanga. Mara ule unga unawaka moto. Watu wanaanza kustaajabu na kusema huyu ndiye mganga. Kumbe kuna chemical kibao ambazo zikikutana na hewa zinashika moto. Kazi yake ilikuwa kutoa wachawi. Anapiga pesa balaa.
Mwingine anasema kuna popo bawa. Mwingine, mwingine anasema kuna radi na mamba za kutumwa. Yaani mambo ya kifala kabisa.