Majini yaliyozagaa Moshi miaka 2002

Majini yaliyozagaa Moshi miaka 2002

Wabongo mafala sana. Kuna mganga mmoja alikuwa anachukua unga fulani, anauweka kwenye karatasi na kujidai kupiga manyanga. Mara ule unga unawaka moto. Watu wanaanza kustaajabu na kusema huyu ndiye mganga. Kumbe kuna chemical kibao ambazo zikikutana na hewa zinashika moto. Kazi yake ilikuwa kutoa wachawi. Anapiga pesa balaa.

Mwingine anasema kuna popo bawa. Mwingine, mwingine anasema kuna radi na mamba za kutumwa. Yaani mambo ya kifala kabisa.
Falar baba ako
 
Habari! Wadau kati ya miaka ya 2002 hivi sijui kama nitakuwa nimekosea nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka tukio ambalo lilivuma miaka iyo kuhusu kuzagaa majini ya boss wa adventure pale majengo.

Kipindi iko watu walikuwa wasema wanakutana na majini mara kwenye daladala linatoa mkono kutoka seat ya mwisho konda alipo.

Wengine sijui wanasema wanaingia gest sijui linazima taa yani mambo yalikua mengi.

Kama kuna mtu atakuwa anafahamu hiki kisa basi atujulishe.
@luambo makiadi
 
Back
Top Bottom