Majini yanampanda kichwani kila tukiwa katikati ya mizagumuano!

Majini yanampanda kichwani kila tukiwa katikati ya mizagumuano!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Habari za jioni wanajamii wote natumai mu wazima wa afya tele! Nakwawale ambao sio wazima wa afya MUNGU awajaalie mrejee katika afya zenu haraka!

Nina mpenzi wangu tuko naye kwenye mahusiano huu mwaka wa 2, ila shida kila tukiwa tunazagamuana majini yanampanda kichwani na mara aanze kunikaba mara anipige na saa nyingine hata kuunguruma kama simba. Kwakweli hii hali imekuwa ikijirudia mara kwa mara.

Mbaya zaidi hapa juzi juzi tukiwa tunaburudika chumbani yalimpanda na kuanza kuunguruma huku akining'ata na kunishushia kipigo, hadi ikapelekea kukimbia uchi chumbani kutafta msaada! Kama kuna mtaalam wa haya mambo naombeni anisaidie jamani nampenda sana.

Matatizo haya usiombe yakukute. 😞😞 Sipo vizuri kisaikolojia kumwacha cwezi cjui nifanyeje! Nimezunguka sana kutafta msaada ila imebuma mara ya mwisho nilipewa dawa niwe naoga nazo na yeye aoge nazo lakini naona kama ndio imezidi.
 
Habari za jioni wanajamii wote natumai mu wazima wa afya tele! Nakwawale ambao sio wazima wa afya MUNGU awajaalie mrejee katika afya zenu haraka!
Nina mpenzi wangu tuko naye kwenye mahusiano huu mwaka wa 2, ila shida kila tukiwa tunazagamuana majini yanampanda kichwani na mara aanze kunikaba mara anipige na saa nyingine hata kuunguruma kama simba. Kwakweli hii hali imekuwa ikijirudia mara kwa mara. Mbaya zaidi hapa juzi juzi tukiwa tunaburudika chumbani yalimpanda na kuanza kuunguruma huku akining'ata na kunishushia kipigo, hadi ikapelekea kukimbia uchi chumbani kutafta msaada! Kama kuna mtaalam wa haya mambo naombeni anisaidie jamani nampenda sana. Matatizo haya usiombe yakukute. [emoji20][emoji20] Sipo vizuri kisaikolojia kumwacha cwezi cjui nifanyeje! Nimezunguka sana kutafta msaada ila imebuma mara ya mwisho nilipewa dawa niwe naoga nazo na yeye aoge nazo lakini naona kama ndio imezidi.
kwakua nyie ni Wazinzi siwezi kuwasaidia ila kuna watu hapa nishawasaidia sana tu kuhusu hyo mambo ila ww mzinifu ni NO.
 
Choma mfupa wa kitimoto ukiwa nae utakuja kunishukuru. Waislam wanaipiga vita kitimoto kwa sababu na sio eti ni haramu🏃
Nimejaribu ila hamna kitu mkuu! Mpaka mkaa nimeuweka kwenye nywele zake lakini wapi!
 
Habari za jioni wanajamii wote natumai mu wazima wa afya tele! Nakwawale ambao sio wazima wa afya MUNGU awajaalie mrejee katika afya zenu haraka!
Nina mpenzi wangu tuko naye kwenye mahusiano huu mwaka wa 2, ila shida kila tukiwa tunazagamuana majini yanampanda kichwani na mara aanze kunikaba mara anipige na saa nyingine hata kuunguruma kama simba. Kwakweli hii hali imekuwa ikijirudia mara kwa mara. Mbaya zaidi hapa juzi juzi tukiwa tunaburudika chumbani yalimpanda na kuanza kuunguruma huku akining'ata na kunishushia kipigo, hadi ikapelekea kukimbia uchi chumbani kutafta msaada! Kama kuna mtaalam wa haya mambo naombeni anisaidie jamani nampenda sana. Matatizo haya usiombe yakukute. [emoji20][emoji20] Sipo vizuri kisaikolojia kumwacha cwezi cjui nifanyeje! Nimezunguka sana kutafta msaada ila imebuma mara ya mwisho nilipewa dawa niwe naoga nazo na yeye aoge nazo lakini naona kama ndio imezidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe ndo we nlikuona unatokomea kweny kichochoro cha lodge uchi...... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama hii story ni ya kweli pole aiseh.... Huyo jini akutaki angalia majini ni washenzi wasije wakalock mlango
 
Next time akipandisha maruhani, na wewe pandisha mizimu ya kwenu. Yaani bampa to bampa mzee. Akimwaga mboga, we unavunja jiko kabisa.
Maana ushasema unamuelewa hiyo jini maimuna, then hauna jinsi zaid ya kukutana nae juu kwa juu
 
Back
Top Bottom