Habari wadau
Naomba msaada wa ushauri,nina mtoto wa mwaka mmoja na nusu,tangu jana ameanza kutoka majipu sehemu mbalimbali mwilini,hivi nini chanzo cha majipu,na kuna dawa ya kuyaondoa pasipo kukamua,ni dawa gani hiyo?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums