Majira ya baridi ndiyo yataamua hatma ya vita ya Ukraine

Majira ya baridi ndiyo yataamua hatma ya vita ya Ukraine

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Ni ukweli usiopingika ,achilia mbali mahaba tuliyonayo ,maana kila binadamu ana chaguo lake ,pro NATO na pro Russia wote wana haki ya kuwa na mahaba ,kwa kadri ya ufahamu na mitazamo ya namna mbalimbali.

Ila sasa wakuu hii vita tuambiane ukweli tuu majira ya baridi ndiyo yatatoa matokeo halisi ,nasema hivi kwa sababu zifuatazo.

Mataifa ya magharibi yanategemea wese la Russia kwa slasilimia 55%,gessi 40%,mbolea 38% ,ngano 18%,pia kibiashara wanaingiliana ambapo mzunguko wa biashara kati ya hizi nchi ni mkubwa.

Russia kwa upande wake karibu nusu ya pato lake anapata kutokana na kuuza gesi ,wese, mbolea na ngano barani ulaya na anapiga hela nzuri ya maana kuliko kutuuzia sisi nchi ambazo ndio tunapambana kujikwamua kiuchumi.

Hivyo changamoto kubwa kipindi cha majira ya baridi ni kuwa Russia anaweza kususia kuuza gesi na wese maana kwamba na yeye ameahawekewa vikwazo vya kununua technology yoyote toka west.

Kimwonekano inaonekana ni jambo jepes ila naye Russia atapata pigo la kiuchumi sana, ukizingatia bado yuko kwenye vikwazo na vita iko mbele yake.

Kwa west nao hali haitakua rahisi, kwani nao watapata pigo kubwa la uzalishaji na pato la nje litashuka.

Nachoona hapa winter ndio refaree wa huu mtanange ,haijalishi wote wamejiandaa vipi ila maandaliazi mazuri siyo sababu ya kupata matokeo chanya.

Maana west wanavyofikir akiba itawatosha ya gesi na mafuta waliyojiwekea,kiukweli mambo yanaweza kubadilika.

Even Russia kwa kutegemea kupata soko nje ya west ambalo litakua mbadala ,mambo yanaweza yasiende anavyotaka ,hivyo matokeo ya hii vita tujiandae kisaikolojia tutashuhudia mambo meng kipindi cha winter.
 
Toka February mpaka sasa nchi za Ulaya zimekuwa zikipambana namna ya kutatua tatizo hili, pia yamkini nchi za ulaya zina reserve ya kutosha.

Hakuna mtu anayeweza kumdindia mwenzie ikiwa bado hana plan B. Awali tulisema kuwa, hii vita mataifa makubwa yalishajipanga. Vikwazo vilivyowekwa kwa Russia watu hawakutoa kwa mihemko ila walipga hesabu zao na mambo yakaenda kama tunavyoona.

Mataifa ya Ulaya hadi kufikia majira hayo, hayawezi kuathirika sana sababu walijipanga, usisahau kuwa US ana gas nyingi saaana kuliko Russia ishu ni gharama ya kuifikisha ulaya. Sitashangaa mataifa ya ulaya yakikamua pesa za Russia walizozizuia, watazitumia ili balance hilo gap la kununua gas toka Urusi na lile la US. Kikubwa ni wao kuwa na reserve ya kutosha ili endapo mrusi akikata basi watumie hiyo reserve.

Pili, sioni sababu ya mrusi kuzuia hiyo gas. Huwezi kuacha kuingiza pesa ndefu kisa una bifu na adui yako. Vita ni pesa, OP ya Urusi pale Russia kwa siku ni mabilioni yanamwagika pamoja na uhai wa watu. Anapata wapi pesa ya kutengeneza silaha mpya, kurecruit watu wapya, kuendeleza vita huko Ukraine n.k ikiwa pesa hauna?

Gas anayouza Ulaya ni kama 40% ya pato la nchi, hawezi kuweka uchumi rehani kiasi hiki kwa kususia kuwauzia gas Ulaya. Ni sawa na china leo hii agombane na US, ni kitendo cha miaka kadhaa michache uchumi wake utashuka kwa kasi kubwa sana sababu uwekezaji mkubwa ulofanywa China ni US, soko la china ni Ulaya na US.

Wataalamu wa uchumi na uwekezaji, hawawezi kumwambia putin agomee kuwauzia Gas ulaya. Hiki kitu sio rahisi kutokea.
 
Mbali na winter, maisha ya ulaya Gas na mafuta ni muhimu mno. Endapo Putin angeona the only way kuikomoa Europe ni kuwafungia Gas, basi angefanya hivyo.

Ila amekaa chini ametafakari, ameona kuzuia Gas ni kujichimbia yeye mwenyewe kaburi. Uliwahi msikia Putin akichimba mikwara mizito ya kuzuia hizo bidhaa asiuze Ulaya? Sote si tunafahamu Export inapokuwa kubwa zaidi ndipo uchumi wake unazidi kupaa kwa kuimarika?

Unapozuia usiuze nje hasa kwa mteja wako mkuu unakuwa unatafuta kitu gani? Kujifilisi, ni hiko tu. Ukifika wakati wa hayo majira, Putin akiendelea kuuza hiyo Gas wala asilaumiwe. Gas na mafuta ya Ulaya ndiyo yanaongoza serikali yake, sasa azuie ili watu wake wale nini?

Kwa jinsi ulaya walivyomkaa kooni, angekuwa anauwezo wa kuwadindia angewadindia asiwauzie ila anawauzia sababu hana namna, ameona maslahi ni mapana zaidi.
 
Toka February mpaka sasa nchi za Ulaya zimekuwa zikipambana namna ya kutatua tatizo hili, pia yamkini nchi za ulaya zina reserve ya kutosha.

Hakuna mtu anayeweza kumdindia mwenzie ikiwa bado hana plan B. Awali tulisema kuwa, hii vita mataifa makubwa yalishajipanga. Vikwazo vilivyowekwa kwa Russia watu hawakutoa kwa mihemko ila walipga hesabu zao na mambo yakaenda kama tunavyoona.

Mataifa ya Ulaya hadi kufikia majira hayo, hayawezi kuathirika sana sababu walijipanga, usisahau kuwa US ana gas nyingi saaana kuliko Russia ishu ni gharama ya kuifikisha ulaya. Sitashangaa mataifa ya ulaya yakikamua pesa za Russia walizozizuia, watazitumia ili balance hilo gap la kununua gas toka Urusi na lile la US. Kikubwa ni wao kuwa na reserve ya kutosha ili endapo mrusi akikata basi watumie hiyo reserve.

Pili, sioni sababu ya mrusi kuzuia hiyo gas. Huwezi kuacha kuingiza pesa ndefu kisa una bifu na adui yako. Vita ni pesa, OP ya Urusi pale Russia kwa siku ni mabilioni yanamwagika pamoja na uhai wa watu. Anapata wapi pesa ya kutengeneza silaha mpya, kurecruit watu wapya, kuendeleza vita huko Ukraine n.k ikiwa pesa hauna?

Gas anayouza Ulaya ni kama 40% ya pato la nchi, hawezi kuweka uchumi rehani kiasi hiki kwa kususia kuwauzia gas Ulaya. Ni sawa na china leo hii agombane na US, ni kitendo cha miaka kadhaa michache uchumi wake utashuka kwa kasi kubwa sana sababu uwekezaji mkubwa ulofanywa China ni US, soko la china ni Ulaya na US.

Wataalamu wa uchumi na uwekezaji, hawawezi kumwambia putin agomee kuwauzia Gas ulaya. Hiki kitu sio rahisi kutokea.
Winter itaamua
Ila naamini RUSSIA anaenda kukata [emoji618] hapo muda ukiwadia
Nadhani hata hao washindani wake wanayajua yajayo kama yanasikitisha nandio maana wanalialia
Kama unakiri kua gharama zakuendesha SMO nikubwa nainagharimu pesa namaisha yawatu sidhanii kama hilo anaweza akajali
Naamini RUSSIA toka imeanza SMO yake imepoteza mapato yakutosha sana kuliko mapato ambayo atayapoteza kuanzia dec to feb kama atakata [emoji618] huko EU
RUSSIA mpaka kaamua kuingia UKRAINE alijua kama kuna vikwazo nandiomaana akahamia upande Wa india na uchina kwenye nishati na mengineo jambo ambalo US na wenzake walipiga sana kelele kwamba watamsaidia RUSSIA kukwepa vikwazo
Nakweli tumeona bidhaa nyingi zinaingia RUSSIA kutokea nje ya West tumeona athari zavikwazo kwa RUSSIA haziku kama tulivyodhania maana kwavikwazo 10000+ haikutakiwa RUSSIA iwe hii tuionayo
Mwisho winter inakuja nakwamaoni namtazamo wangu RUSSIA anaenda kufunga ila muda utaamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbali na winter, maisha ya ulaya Gas na mafuta ni muhimu mno. Endapo Putin angeona the only way kuikomoa Europe ni kuwafungia Gas, basi angefanya hivyo.

Ila amekaa chini ametafakari, ameona kuzuia Gas ni kujichimbia yeye mwenyewe kaburi. Uliwahi msikia Putin akichimba mikwara mizito ya kuzuia hizo bidhaa asiuze Ulaya? Sote si tunafahamu Export inapokuwa kubwa zaidi ndipo uchumi wake unazidi kupaa kwa kuimarika?

Unapozuia usiuze nje hasa kwa mteja wako mkuu unakuwa unatafuta kitu gani? Kujifilisi, ni hiko tu. Ukifika wakati wa hayo majira, Putin akiendelea kuuza hiyo Gas wala asilaumiwe. Gas na mafuta ya Ulaya ndiyo yanaongoza serikali yake, sasa azuie ili watu wake wale nini?

Kwa jinsi ulaya walivyomkaa kooni, angekuwa anauwezo wa kuwadindia angewadindia asiwauzie ila anawauzia sababu hana namna, ameona maslahi ni mapana zaidi.
Hizi nyuzi humu zingekua zinachambuliwa hv ingekua mali sana
Kongole sana MKUU
Ila nahisi PUT IN sio kama hajui kama jamaa wamemkalia kooni hapana anaelewa sana na anajua kama jamaa wanamtegemea kwenye nishati
Ila nadhani jamaa hawezi kukurupuka sababu wanategemeana ila inapobidi ndio yanatokea yakutokea
Nandio maana hata wao EU nawengne wanatamani kuieka nishati ya RUSSIA kwenye mabano ila wanajua outcome zake zakufanya hvyo
Twendeni mbele turudini nyuma vita yakileo hawapiganii dini wala nini ukiachana na siasa zauchaguzi basi ujue nivita yakimaslahi UCHUMI
nadhani kwasasa EU na RUSSIA wanajua kama wanapigania vita ya kiuchumi ila vita yakiuchumi hukurupuki unaenda kwa timing atakaezidiwa imekula kwake
RUSSIA anajua kama anahitajika kwa gas EU nakwengineko ila anajua zaidi kwamba WINTER matumizi ya GAS yanakua makubwa zaidi nahisi anajua hata pakushindia SMO yake na kushindiwa itatokea wapi
Winter ikifika tutajua mengi sana nakuona mengi sana tuombe uhai
Mwisho:-Naamini jamaa anaenda kufunga koko pia sidhanii kama EU wanagas yakutosha kipindi hiko pia kuagiza gas US inawezekana ila itapandisha gharama zamaisha EU maradufu sidhanii kama itakua rahisi kutoa pesa za RUSSIA kununulia nishati huko US
Ikumbukwe pia RUSSIA anakamata zaidi ya ndege 400 kutoka huko west sio rahisi jamaa kutumia pesa za RUSSIA
Nb:-naona japana alisitish vikwazo vyake kwa mradi wake ule wa SAKHALIN ili afaidike na Gas ya RUSSIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Winter itaamua
Ila naamini RUSSIA anaenda kukata [emoji618] hapo muda ukiwadia
Nadhani hata hao washindani wake wanayajua yajayo kama yanasikitisha nandio maana wanalialia
Kama unakiri kua gharama zakuendesha SMO nikubwa nainagharimu pesa namaisha yawatu sidhanii kama hilo anaweza akajali
Naamini RUSSIA toka imeanza SMO yake imepoteza mapato yakutosha sana kuliko mapato ambayo atayapoteza kuanzia dec to feb kama atakata [emoji618] huko EU
RUSSIA mpaka kaamua kuingia UKRAINE alijua kama kuna vikwazo nandiomaana akahamia upande Wa india na uchina kwenye nishati na mengineo jambo ambalo US na wenzake walipiga sana kelele kwamba watamsaidia RUSSIA kukwepa vikwazo
Nakweli tumeona bidhaa nyingi zinaingia RUSSIA kutokea nje ya West tumeona athari zavikwazo kwa RUSSIA haziku kama tulivyodhania maana kwavikwazo 10000+ haikutakiwa RUSSIA iwe hii tuionayo
Mwisho winter inakuja nakwamaoni namtazamo wangu RUSSIA anaenda kufunga ila muda utaamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya karata bora kabisa Russia kuicheza ktk hii vita ni KUFUNGA VYOMBO VYA HABARI.

Kuruhusu vyombo vya habari kuripoti na kuandika kila kinachotokea hasa kwa mahasimu wake kumiliki vyombo vikubwa zaidi vya habari, ingekuwa ni pigo kubwa kwa Russia ambalo asingeweza kulivumilia.

Vyombo vya habar ndivyo vinasaidia kuvuta uwekezaji kwa mataifa ya nje, vyombo vya habari vina impact kubwa ktk kuimarisha na kukuza fedha yako ndani na nje ya nchi. Kivipi? Wanaonunua na kuuza fedha, hii ni biashara ya KUBASHIRI, kila mtu anafahamu hivi. Watu wanaouza na kununua fedha hakuna FIGURE wanayocheza nayo kama habari, either habar kwa mashirika ya habari au ktk taasisi za kiserikali.

Hiki ndicho kimefanya Ruble ya Russia iendelee kusustain, watu hawajui kwa undani hasa ni kipi kinarun ndani ya Russia, uliwahi kuona ile ripot ya fedha ilotolewa majuzi kati na serikali ya Russia? Umewahi kujiuliza kwanini serikali ilitoa mapato ya serikali ni kiasi fulani ila kwenye matumizi hawakusema kabisa? Walijua Impact yake ni ipi, once unapoexpose information, within seconds uchumi unaweza ukaporomoka kwa kasi kubwa sana.

Sasa kitu gani hasa nakilenga, kama leo tunasema karibia dunia nzima inapita ktk inflation kutokana na vita hii, je unamzungumzaje Russia aliyepoteza ajira zaidi ya laki mbili za Western? Unasema zaidi ya makampuni elfu moja yalofungwa? Unasemaje huduma za fedha zilizofungwa? Pesa zao za nje matrilion elfu kadhaa yamezuiliwa n.k je atakuwa yupo sawa? Tena unaambiwa uchumi wake unaimarika, hii vita kwake haikamui uchumi?

Ndo narudi palepale, Russia kuminya habari toka OP ianze ndipo karata yake alipoicheza vyema. Si unakumbuka kila anayeripoti habari hii negative au kuandama ama kufanya lolote tofaut na serikali itakacho hukumu yake ni nzito?

Russia sio rahisi athubutu kuzima hiyo mitambo, unamkomoaje mtu ambae alishajipanga dhidi yako? Narudia tena, Russia kwa jinsi alivyokaliwa kooni huko Ukraine na Ulaya, angeona Gas ni kitu cha kumpasua Ulaya, wala asingesita kumpasua ila ameshajua its too late na yamkini akaja akajuta zaidi.
 
Hizi nyuzi humu zingekua zinachambuliwa hv ingekua mali sana
Kongole sana MKUU
Ila nahisi PUT IN sio kama hajui kama jamaa wamemkalia kooni hapana anaelewa sana na anajua kama jamaa wanamtegemea kwenye nishati
Ila nadhani jamaa hawezi kukurupuka sababu wanategemeana ila inapobidi ndio yanatokea yakutokea
Nandio maana hata wao EU nawengne wanatamani kuieka nishati ya RUSSIA kwenye mabano ila wanajua outcome zake zakufanya hvyo
Twendeni mbele turudini nyuma vita yakileo hawapiganii dini wala nini ukiachana na siasa zauchaguzi basi ujue nivita yakimaslahi UCHUMI
nadhani kwasasa EU na RUSSIA wanajua kama wanapigania vita ya kiuchumi ila vita yakiuchumi hukurupuki unaenda kwa timing atakaezidiwa imekula kwake
RUSSIA anajua kama anahitajika kwa gas EU nakwengineko ila anajua zaidi kwamba WINTER matumizi ya GAS yanakua makubwa zaidi nahisi anajua hata pakushindia SMO yake na kushindiwa itatokea wapi
Winter ikifika tutajua mengi sana nakuona mengi sana tuombe uhai
Mwisho:-Naamini jamaa anaenda kufunga koko pia sidhanii kama EU wanagas yakutosha kipindi hiko pia kuagiza gas US inawezekana ila itapandisha gharama zamaisha EU maradufu sidhanii kama itakua rahisi kutoa pesa za RUSSIA kununulia nishati huko US
Ikumbukwe pia RUSSIA anakamata zaidi ya ndege 400 kutoka huko west sio rahisi jamaa kutumia pesa za RUSSIA
Nb:-naona japana alisitish vikwazo vyake kwa mradi wake ule wa SAKHALIN ili afaidike na Gas ya RUSSIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kijana, izo ndege 400 au fanya wameshikilia ndege 1,000, una kazi nazo gani ikiwa vipuri vyake ni lazima ukaagizie hukohuko US? Taifa lianze kutenga bajeti ya rearch kwa ajili ya vipuri, kwa zama hizi anazopitia Russia inawezekana? Leo TZ tushikilie gar za Range Rover 300 wakati uwezo wa kutengeneza spare zake hatuna, inawezekana vipi au faida kushikilia hizo gari ni zipi? Faida yake itakuwa ni ndogo na ni ya muda mfupi sana.

Ulianza vyema ila mwishoni nafikiri umeenda tofauti na nsingependa tupanue zaidi sababu tutazua mabishano badala ya majadiliano. Ila kikubwa mimi nikionacho ni hiki, sio rahisi Russia kufunga hiyo koki, tuelewe pia kufikia hiyo december hatuwezi kujua financial status ya Russia itakuaje. Yamkini awa ni mbovu, ataacha kuuza Gas? What if vita huko Ukraine ikawa inamkamua pesa zaidi, ni kitu anachoweza kufanya?

Kuna muda busara inaweza ikawa ni silaha nzuri kuliko bomu na bunduki.
 
Moja ya karata bora kabisa Russia kuicheza ktk hii vita ni KUFUNGA VYOMBO VYA HABARI.

Kuruhusu vyombo vya habari kuripoti na kuandika kila kinachotokea hasa kwa mahasimu wake kumiliki vyombo vikubwa zaidi vya habari, ingekuwa ni pigo kubwa kwa Russia ambalo asingeweza kulivumilia.

Vyombo vya habar ndivyo vinasaidia kuvuta uwekezaji kwa mataifa ya nje, vyombo vya habari vina impact kubwa ktk kuimarisha na kukuza fedha yako ndani na nje ya nchi. Kivipi? Wanaonunua na kuuza fedha, hii ni biashara ya KUBASHIRI, kila mtu anafahamu hivi. Watu wanaouza na kununua fedha hakuna FIGURE wanayocheza nayo kama habari, either habar kwa mashirika ya habari au ktk taasisi za kiserikali.

Hiki ndicho kimefanya Ruble ya Russia iendelee kusustain, watu hawajui kwa undani hasa ni kipi kinarun ndani ya Russia, uliwahi kuona ile ripot ya fedha ilotolewa majuzi kati na serikali ya Russia? Umewahi kujiuliza kwanini serikali ilitoa mapato ya serikali ni kiasi fulani ila kwenye matumizi hawakusema kabisa? Walijua Impact yake ni ipi, once unapoexpose information, within seconds uchumi unaweza ukaporomoka kwa kasi kubwa sana.

Sasa kitu gani hasa nakilenga, kama leo tunasema karibia dunia nzima inapita ktk inflation kutokana na vita hii, je unamzungumzaje Russia aliyepoteza ajira zaidi ya laki mbili za Western? Unasema zaidi ya makampuni elfu moja yalofungwa? Unasemaje huduma za fedha zilizofungwa? Pesa zao za nje matrilion elfu kadhaa yamezuiliwa n.k je atakuwa yupo sawa? Tena unaambiwa uchumi wake unaimarika, hii vita kwake haikamui uchumi?

Ndo narudi palepale, Russia kuminya habari toka OP ianze ndipo karata yake alipoicheza vyema. Si unakumbuka kila anayeripoti habari hii negative au kuandama ama kufanya lolote tofaut na serikali itakacho hukumu yake ni nzito?

Russia sio rahisi athubutu kuzima hiyo mitambo, unamkomoaje mtu ambae alishajipanga dhidi yako? Narudia tena, Russia kwa jinsi alivyokaliwa kooni huko Ukraine na Ulaya, angeona Gas ni kitu cha kumpasua Ulaya, wala asingesita kumpasua ila ameshajua its too late na yamkini akaja akajuta zaidi.
Naomba twende pamoja MKUU hayo yakugunga vyombo vya habari inaweza isiwe sababu zakimsingi hasa kwenye masuala ya kiuchumi
Linapokuja suala la kiuchumi kwamataifa yanayojielewa hawezi mtu akaenda kuekeza pesa zake sehemu kwaripoti tu za RT ama BBC zikawa zinamtosha kuekeza mabilioni ama matrilioni ya pesa zake
Nandio maana kukawa namashirika yakijasusi sio kwamasuala yaulinzi tu hadi masuala ya buss hapo yanatumika kuangalia faida na hasara
Maana kama vyombo vya habari vimefungwa ndani ya RUSSIA tu ila nje ya RUSSIA ambapo ndio wanatokea wawekezaji vyombo husika vinapatikana kama kawaida
Pia RUSSIA alifunga vyombo vya habari kwasuala zima la SMO
Pia kikubwa kilichofanya RUBLE kupanda thamani nimahitaji yake sokoni nandio maana EU NATO wakampiga ban kutumia sarafu zao kama sababu yakumdhoofisha na kweli tuliona RUBO ilivyopotea
Ila jamaa waliposema RUBO ndio iwe pesa yamalipo tunaiona leo hii RUBO ilipo nailipo tokea
Sehem kubwa ya dunia inapitia kwenye inflation sababu yakutegemea mengi kutokea kwahao wanaopigana na miezi karibu minne ikawa haipatikaniki nawalau RUSSIA alikua anauza
Ila ngano mbolea mafuta ya alizeti shairi mahindi gesi nk yalikua yanatokea huko kwa wingi lazma inflation ilikua haiepukiki wala sio kengine
RUSSIA anaumizwa sana na vikwazo nimpuuzi tu anaepingana na hili ila RUSSIA haumizwi na vikwazo kama tulivyodhania ama walivyotarajia wawekaji
MKUU kuna mambo kwenye hii dunia ya .com hata ufanye nini hayafichiki mwezi march ama april RUSSIA ilikumbwa na uhaba wa sukari kama athari ya vikwazo dunia nzima ilijua licha yakwamba walizuia media ila kwasasa tatizo halipo jamaa walilishughulikia
Mwisho:-maamuzi ya RUSSIA kuzima ama kufunga koki sio mepesi nimagumu hasa ila ndio karata yake yamwisho au king yake dhidi ya wabaya wake na naamini kama SMO haitaisha kwanjia yeyote mpaka kufikia winter hio kete RUSSIA ataisukuma
Muda ndio mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kijana, izo ndege 400 au fanya wameshikilia ndege 1,000, una kazi nazo gani ikiwa vipuri vyake ni lazima ukaagizie hukohuko US? Taifa lianze kutenga bajeti ya rearch kwa ajili ya vipuri, kwa zama hizi anazopitia Russia inawezekana? Leo TZ tushikilie gar za Range Rover 300 wakati uwezo wa kutengeneza spare zake hatuna, inawezekana vipi au faida kushikilia hizo gari ni zipi? Faida yake itakuwa ni ndogo na ni ya muda mfupi sana.

Ulianza vyema ila mwishoni nafikiri umeenda tofauti na nsingependa tupanue zaidi sababu tutazua mabishano badala ya majadiliano. Ila kikubwa mimi nikionacho ni hiki, sio rahisi Russia kufunga hiyo koki, tuelewe pia kufikia hiyo december hatuwezi kujua financial status ya Russia itakuaje. Yamkini awa ni mbovu, ataacha kuuza Gas? What if vita huko Ukraine ikawa inamkamua pesa zaidi, ni kitu anachoweza kufanya?

Kuna muda busara inaweza ikawa ni silaha nzuri kuliko bomu na bunduki.
Hizo ndege RUSSIA wala asizitumie mfano kashikilia tayari vibarua vyawatu hapo
Hapo kwenye ajira laki mbili ndio kama tunaporudi EU jana GER kuna kampuni wametangaza kusimamisha uzalishaji kutokana na gharama za uendeshaji wa kampuni
Hii SMO ifike winter tuone itafikia khatma gani
Kama nimekukwaza huko chini MKUU tusamehene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli usiopingika ,achilia mbali mahaba tuliyonayo ,maana kila binadamu ana chaguo lake ...
62ff5b7e203027154531bce3.jpg
62ff5aab85f5403dd07a5060.jpg
Vladimir-Putin-with-a-gas-pipeline_trans_NvBQzQNjv4BqNUHzxaamNmHDqK-YksWRz2o-yMLyYquKCawpyDOW254.jpg
 
Sasa kijana, izo ndege 400 au fanya wameshikilia ndege 1,000, una kazi nazo gani ikiwa vipuri vyake ni lazima ukaagizie hukohuko US? Taifa lianze kutenga bajeti ya rearch kwa ajili ya vipuri, kwa zama hizi anazopitia Russia inawezekana? Leo TZ tushikilie gar za Range Rover 300 wakati uwezo wa kutengeneza spare zake hatuna, inawezekana vipi au faida kushikilia hizo gari ni zipi? Faida yake itakuwa ni ndogo na ni ya muda mfupi sana.

Ulianza vyema ila mwishoni nafikiri umeenda tofauti na nsingependa tupanue zaidi sababu tutazua mabishano badala ya majadiliano. Ila kikubwa mimi nikionacho ni hiki, sio rahisi Russia kufunga hiyo koki, tuelewe pia kufikia hiyo december hatuwezi kujua financial status ya Russia itakuaje. Yamkini awa ni mbovu, ataacha kuuza Gas? What if vita huko Ukraine ikawa inamkamua pesa zaidi, ni kitu anachoweza kufanya?

Kuna muda busara inaweza ikawa ni silaha nzuri kuliko bomu na bunduki.
Kuna muda busara inaweza ikawa ni silaha nzuri kuliko bomu na bunduki,,,,,,Hongera kwa kulitambua hilo,
Kwa sasa busara si mahala pake kwa Uikrane,Kama utakumbuka Urusi amekaa mezani na Uikrane kwa miaka 25 mwisho wa mazungumzo Yao ndo hayo unayoyaona.
Busara Ina mahala pake .
 
Back
Top Bottom