Majirani Karibu Wajipate Kwa Khashoggi Moment: Pumba Waandika Tweet Kwenye Account Ya Mwanahabari Kwa Kiingereza Kibovu

pimbi hata wangewacha tu badala ya kuandika ujinga...watu wazima wanaandika kiingereza cha mtoto wa nursery
 
pimbi hata wangewacha tu badala ya kuandika ujinga...watu wazima wanaandika kiingereza cha mtoto wa nursery

Teh teh teh tihiii
so dat is all you have to say.
kiingereza kiingereza kiingereza
 
sasa kama sijui kiingereza thesis niliandikaje na kuna hadi mwaka nilikuwa co chair wa mawaziri wa barabara kule Canada sasa niliongozaje huo mkutano wa wazungu tupu
 

Thibitisha kwamba ni polisi wa tz waliandika hiyo tweet.

Unajua saa zingine mnajikutaka mnajua wakati ni hakuna kitu kichwani.huyo dada yenu na shoga yake,walijua hapa kwa mjomba wao wanaweza kuja na kufanya wanachojisikia tu eti!!!??

Ukitaka kuja tz kufanya maisha njoo,achana na viherehere vingine utagongwa.
 
Hao waandishi ni wapumbavu kabisa.mnaingia kwa kibali cha kufanya utalii halafu mnaanza vikao na waandishi was habari huo upuuzi wakaufanyie Kenya huko Tanzania hapana.
 
Mkenya humuona mzungu kama Mungu aisee bado tuna safari ndefu
 

Tz tz shut up [emoji850]
Nenda marekan kwa lengo la utalii halafu ukafenye mambo mengine tofauti na ulichoombea kuingia nacho kwao. Au china au uingerza n. k cha moto utakiona. Waacheni watimize sheria zao.
Naipa bog up Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…