tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Nimekua nikisoma maoni ya wakenya wengi juu ya huu ujenzi wa SGR phase ya kwanza na ya pili ya Tanzania wakionyesha kuwa na wasiwasi sana...
Nashindwa kuwaelewa huo wasiwasi wanaupata unasababishwa na nini au kwasababu wamezoea kuona vitu kama hivi vikifanywa na mataifa makubwa zaidi yetu.
Najua ya kwamba wasiwasi ndio akili lakini tumeamua kwa dhati kufanya na sio kuwaza tungefanya. Well kuhusu suala me umeme ndugu zetu umeme tunaozalisha kwa sasa wala hata hatuutumii wote...
Mahitaji ya nchi kwa sasa ni Megawatts 1300 na tunazalisha zaidi ya 1500MW...
Umeme unaendelea kufuliwa na kile mwaka tunaongeza kwenye grid ya taifa na poa msisahau kabla ya mradi huu mkubwa kuanza tathimini zote zilishafanywa na kuona unawezekana kufanyika laa sivyo hizo pesa ni bora tungefanyia mambo mengine...
Nawasilisha. ..
Nashindwa kuwaelewa huo wasiwasi wanaupata unasababishwa na nini au kwasababu wamezoea kuona vitu kama hivi vikifanywa na mataifa makubwa zaidi yetu.
Najua ya kwamba wasiwasi ndio akili lakini tumeamua kwa dhati kufanya na sio kuwaza tungefanya. Well kuhusu suala me umeme ndugu zetu umeme tunaozalisha kwa sasa wala hata hatuutumii wote...
Mahitaji ya nchi kwa sasa ni Megawatts 1300 na tunazalisha zaidi ya 1500MW...
Umeme unaendelea kufuliwa na kile mwaka tunaongeza kwenye grid ya taifa na poa msisahau kabla ya mradi huu mkubwa kuanza tathimini zote zilishafanywa na kuona unawezekana kufanyika laa sivyo hizo pesa ni bora tungefanyia mambo mengine...
Nawasilisha. ..