kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
mijadala kuhusu sgr ya tanzania sio tu kwa wakenya wachache wa jf bali pia hata kwa wakenya wengi wa twitter.Chanzo chake ilikua ni kutokana na mazungumzo ambayo hufanyika hapa JF... mahali ambapo wakenya chini ya ishirini ndo wanashiriki (active members) alafu ameconclude kwamba sisi ndo 'wakenya wote'
wakenya mmekuwa mnaitajataja sana sgr ya tanzania katika mazungumzo yenyu kule twitter kutuzidi hata sisi watanzania ambao ndio wahusika wa hii project.
sijui hofu yenyu ni nini?.
hii ni sehemu ndogo ya uthibitisho.