Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
we jua tu matusi ni dalili ya kushindwa na akili finyu...Lazima utoe povu. Na hakuna sehemu yoyote nimemtusi mtu. Bali nimemwambia ukweli kuwa yeye ni kilaza, tena ni mbumbumbu wa mambo ya IT. Eti anasema ameingia Twitter kwa kutumia IP address ya France. Si ujinga huu. Hata wewe kweli unakubaliana na huyu kilaza?
Jibu swali nimekuuliza eti jamaa yako amesema kaingia twitter kwa kutumia IP Address ya France unakubaliana naye?we jua tu matusi ni dalili ya kushindwa na akili finyu...
Baada ya kujisifu wewe ni gwiji wa Software Development na unajionyesha wazi haujui lolote zaidi ya what is an IP adresss. .. Yani project leader mzima hajui VPN ni nini au inatumikaje.... Hivi hata movie hauangalii ama hua hauelewi wanasema nini kusikia mtu ana bounce IP address to different servers across the world....Wewe mjinga sana kijana. Hujui chochote kaa kimya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Hahahahaha!! Jamaa namuona anatoa povu. Tunaweza kumpiga trick kidogo akatoa hata passwords zake.
Jamaa bado yupo nyuma sana. Hajui sisi ni Jeshi la Wananchi Mitandaoni Tanzania (JWMTZ).
hihihihi, ati wewe ni gwiji wa IT na unauliza kama inawezekana kuficha IP adreess na kutumia fake ip ya nchi nyengine... hihihi Sasa nikikwambia unaweza geuza hata MAC address ya laptop ili hata ukishikwa na laptop hakuna mahakama itakubali kua ni hio laptop ndo ilitumika kufanya hii comment... si utaanza kuniita mchawi ...Jibu swali nimekuuliza eti jamaa yako amesema kaingia twitter kwa kutumia IP Address ya France unakubaliana naye?
Kijana nakuona hujui hata tofauti ya VPN na Proxy.Baada ya kujisifu wewe ni gwiji wa Software Development na unajionyesha wazi haujui lolote zaidi ya what is an IP adresss. .. Yani project leader mzima hajui VPN ni nini au inatumikaje.... Hivi hata movie hauangalii ama hua hauelewi wanasema nini kusikia mtu ana bounce IP address to different servers across the world....
Nilikiuonya usijipige kifua kabla ya kuonyesha ueledi wako, sasa angalia... anyone with working knowledge of VPNs anakucheka akikusikitikia vile unajiaibisha
Kijana kuficha IP hiyo inaitwa Proxy. Haiwezi kuwazuia Twitter kujua wewe ni wa wapi.hihihihi, ati wewe ni gwiji wa IT na unauliza kama inawezekana kuficha IP adreess na kutumia fake ip ya nchi nyengine... hihihi Sasa nikikwambia unaweza geuza hata MAC address ya laptop ili hata ukishikwa na laptop hakuna mahakama itakubali kua ni hio laptop ndo ilitumika kufanya hii comment... si utaanza kuniita mchawi ...
Anyone with real IT knowledge please help this guy
vipi hacking ya 51.15.238.212 imefika wapi? chunga sije ukaingia kwa honeypot ukaendelea kujiaibisha hadharanimbona maneno mingi buda...hofu ya nini?. tulia acha watu waifanyie kazi hiyo IP address.
tutakuletea matokea. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha eti VPN. Hapa JF hatuna tabia za ku expose issue private za watu. Sisi ni watu wazima na intelligent.vipi hacking ya 51.15.238.212 imefika wapi? chunga sije ukaingia kwa honeypot ukaendelea kujiaibisha hadharani
Hapo tu kwa kuanzia. IT ina miiko yake kijana. Usipende kuiweka uchi.vipi hacking ya 51.15.238.212 imefika wapi? chunga sije ukaingia kwa honeypot ukaendelea kujiaibisha hadharani
Hihihi jamaa anazidi kujiabisha, nimekuwekea ip adress hadharani! hii hapa tena 51.15.238.212 niambie niko wapi na natumia ddvice gani na OS version gani.... eti twitter wanajua mambo mengi kuhusu computer yangu... What computer? ile yenye inaflash cookies every time I open a browser, computer ipi hio, yenye iko France ama ile ya Netherlands... ama ni ile ya UK... sije ikawa ni ile ya SA!!!Kijana nakuona hujui hata tofauti ya VPN na Proxy.
Nenda shule kwanza kijana. Twitter wanajua issue nyingi sana kuhusu computer yako.
Tafuta TOR browser ili uanze kuingia kwenye Deep and Dark Websites.
Mbona povu kubwa hivyo kijana. Nimekuuliza swali dogo tu. Eleza tofauti ya VPN na Proxy. Unaandika maneno meengi.Hihihi jamaa anazidi kujiabisha, nimekuwekea ip adress hadharani! hii hapa tena 51.15.238.212 niambie niko wapi na natumia ddvice gani na OS version gani.... eti twitter wanajua mambo mengi kuhusu computer yangu... What computer? ile yenye inaflash cookies every time I open a browser, computer ipi hio, yenye iko France ama ile ya Netherlands... ama ni ile ya UK... sije ikawa ni ile ya SA!!!
Anyway, kujibu swali lako....most bebsites are passive (including teitter) .beyond accessing coockies, IP...they dont query your computer .... And even if they wanted to, they will only see buch of gibberish that can only become information if the have the random encryption key which they dont... Only the like likes of NSA ndo wako na supercomputer na experts wa cryptography ambao wanaeza break such encryption. .. ....
Alafu unaanza kunitajia TOR browser ikifikiri ndo umefika..hahahaha please just stop TOR browser tulitumia tukibalehe wakati tulikua curious kujua kunani huko ... Sasa naelewa kwanini watanzania wanaojiskia wanajua kitu hua wanapenda kujigamba.... Jamaa akijua TOR anajiita IT expert!
next time when replying tafadhali, use your so called IT expertise kujieleza, si kuita watu wajinga wakati hakuna lolote la maana unasema... wacha kunipatia CV yako (eti unajua Tor browserna dark web) sijakuuliza mimi... tunaongelea kuhusu kuficha public ip address ya mtu kutumia VPN
pongezi, unajua kufanya simple data gathering.... je unajua inamaanisha nini ? hebu tufundishe gwiji wa IT!Hapo tu kwa kuanzia. IT ina miiko yake kijana. Usipende kuiweka uchi.
View attachment 793747
Ni wivu unawasumbua! Halafu mbaya zaidi reli itafika mpaka Uganda pia. Ukiachia kupitia Lake Victoria.
Mr Nditiye said the process was underway for the SGR project that links Makutupora in Dodoma Region and Tabora Region to start.
He said the feasibility study for the project has already been completed and the project will be launched soon. He further said that, plans are also afoot for the project to extend to Geita- Msanga to Uganda and this will connect Geita and Kagera regions to SGR services.
‘SGR Third Phase preps at advanced stage’
pongezi, unajua kufanya simple data gathering.... je unajua inamaanisha nini ? hebu tufundishe gwiji wa IT!
pongezi, unajua kufanya simple data gathering.... je unajua inamaanisha nini ? hebu tufundishe gwiji wa IT!
Asante ndugu yangu.Ujinga mtupu! Who tracks user identity using IP address? Twitter app has permission to access your phone number, your google email address,your last gps location, your sms, your MNO unique identifier, your wifi settings your photos and your phone book. Even cookies are now an old tracking method used only by websites with no capability of an app..Toddlers in Technology
Unaingilia kati wakati haujui vilianzia wapi!Ujinga mtupu! Who tracks user identity using IP address? Twitter app has permission to access your phone number, your google email address,your last gps location, your sms, your MNO unique identifier, your wifi settings your photos and your phone book. Even cookies are now an old tracking method used only by websites with no capability of an app..Toddlers in Technology