Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Duh hapo siongezi neno MkuuJaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Kila siku nakuambia akili yako ni fupi na ni fupi kweli kweli,Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Rudi kwenye hoja ya msingi we mkirinyaga,
Je kinachosemwa na DW ni sahihi au si sahihi?
Usihamishe magoli tafadhali,tujadili hoja iliyoko mezani kwanza.
Mbona kakimbia kenya, huko nako walimtisha sababu ya cartoons zake, tunajua.Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Aiseeee...Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Hoja ni ipi maana umeleta picha inayodhalilisha viongozi wetu kisha ukatuomba kila mtu kwa uhuru wake aeleze alichokielewa, au unataka kulazimisha uelewaji wetu.
Kila siku nakuambia akili yako ni fupi na ni fupi kweli kweli,
Kipanya anachora katuni daily na hakuna anayemgusa,
Jikite kwenye mada nchi ya watembeza bakuli.
Heheheeeeeeeee,inachoma eeeeeeh
Ukileta uzi weka na maudhui pia ili watu wajue umekuja kiligi ligi ujibiwe au umekuja kujadili hoja. Maana kama ni ligi ya mapicha, sio kazi ngumu, tunakujibu tu...
View attachment 1259294
Nchi yao ina madeni hadi wamepewa onyo πππHihiiiiiii,kapanic,anataka kuhamisha magoli
Nchi yao ina madeni hadi wamepewa onyo πππ
Hahaha matajiri gani hawa wakati wanapewa misaada ya chakula karne hii,Hahaaaa,Halafu yanajifanya matajiri haya mazwazwa,wameumbuka kweupeeeee
Hizi Ni propaganda za mabeberu.Ukileta uzi weka na maudhui pia ili watu wajue umekuja kiligi ligi ujibiwe au umekuja kujadili hoja. Maana kama ni ligi ya mapicha, sio kazi ngumu, tunakujibu tu...
View attachment 1259294
Hizi Ni propaganda za mabeberu.
Hahaha matajiri gani hawa wakati wanapewa misaada ya chakula karne hii,
Tatizo midomo yao huwa inawaponza sana πππ
Wao kila kitu hadi watembeze bakuli πππWakae kimiya sasa,mijizi halafu mimasikini hii inayojifanya inajua kila kitu,kumbe ni miomba omba kama ombaomba wengine tu