Majirani tunawaona maisha safi

Majirani tunawaona maisha safi

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,715
Reaction score
2,385
FB_IMG_1573366864096.jpeg


 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.

Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.

Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.

Rudi kwenye hoja ya msingi we mkirinyaga,

Je kinachosemwa na DW ni sahihi au si sahihi?

Usihamishe magoli tafadhali,tujadili hoja iliyoko mezani kwanza.
 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.
Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Duh hapo siongezi neno Mkuu
 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.

Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Kila siku nakuambia akili yako ni fupi na ni fupi kweli kweli,
Kipanya anachora katuni daily na hakuna anayemgusa,
Jikite kwenye mada nchi ya watembeza bakuli.
 
Rudi kwenye hoja ya msingi we mkirinyaga,

Je kinachosemwa na DW ni sahihi au si sahihi?

Usihamishe magoli tafadhali,tujadili hoja iliyoko mezani kwanza.

Hoja ni ipi maana umeleta picha inayodhalilisha viongozi wetu kisha ukatuomba kila mtu kwa uhuru wake aeleze alichokielewa, au unataka kulazimisha uelewaji wetu.
 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.

Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Mbona kakimbia kenya, huko nako walimtisha sababu ya cartoons zake, tunajua.
 
Jaribu kuchora kitu kama hiki Bongo uone kama hutafuatwa na Bashite.
Juzi msanii kamtakia rais heri ya siku ya kuzaliwa, halafu akaigiza kwa kutumia picha yake rais, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
Kwenu huko mumeamua kuufuta upinzani na kukojolea demokrasia, vyama vya upinzani vinajitoa kwenye uchaguzi, msijilinganishe na Kenya hata kidogo.

Kuna video niliona sehemu Gado akisema alivyotishiwa huko Tz kwa ile michoro yake.
Aiseeee...
umemtaja huyo jamaa (Gado) nikakumbuka mbali sanaaaa..
ngoja nicheke kwanza teh teh teh.. jamaa yupo vizuri sana katika sanaa ya uchoraji.
aliwai kuchora kibonzo kinachohusu Bunge la Tanzania linavyoendeshwa, yaan hadi leo nikikumbuka hicho kibonzo na baki kucheka hata ninapokuwa pekee yangu..[emoji23] [emoji23].
 
hivi nani alimjeruhi lissu vibaya mazee!😀😀
indexgh.jpg

acacia hoyee
170615-Nipashe-cartoon.jpg

wapinzani wataumia sana mazee 😀
Aug-25-16-Magufuli-and-the-Opposition-595x450.jpg

hapa kazi tuuuu!!
indexkl.jpg
June-15-17-Unataka-kukimbia-na-Hauna-Breki-595x450.png

jpm hoyeee! 😅
CkrP8RJVAAA3Ou0.jpg

C2WqQNEWIAEWqB6.jpg
 

Attachments

  • CYC9NHNWYAEezdI.jpg
    CYC9NHNWYAEezdI.jpg
    166.1 KB · Views: 1
  • eec89e3fda72b00ea0bf386dc453b3f5.jpg
    eec89e3fda72b00ea0bf386dc453b3f5.jpg
    204.1 KB · Views: 1
  • October-30-15-JPM-takes-Office.jpg
    October-30-15-JPM-takes-Office.jpg
    631.8 KB · Views: 1
Hoja ni ipi maana umeleta picha inayodhalilisha viongozi wetu kisha ukatuomba kila mtu kwa uhuru wake aeleze alichokielewa, au unataka kulazimisha uelewaji wetu.

Heheheeeeeeeee,inachoma eeeeeeh
 
Heheheeeeeeeee,inachoma eeeeeeh

Ukileta uzi weka na maudhui pia ili watu wajue umekuja kiligi ligi ujibiwe au umekuja kujadili hoja. Maana kama ni ligi ya mapicha, sio kazi ngumu, tunakujibu tu...



1573378218590.jpeg


71781237_511425599676084_4909347087576829751_n.jpg


mpaper_1510124238_5a02aaceda1d4.jpg


D8MYOAlWkAEgjxA.jpg
 
Hahaha matajiri gani hawa wakati wanapewa misaada ya chakula karne hii,
Tatizo midomo yao huwa inawaponza sana 😂😂😂

Wakae kimiya sasa,mijizi halafu mimasikini hii inayojifanya inajua kila kitu,kumbe ni miomba omba kama ombaomba wengine tu
 
Back
Top Bottom