Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Tupo mwanzo wa wiki na mwezi nao ndio unayoyoma.. kwa wenye mishahara mwisho wa mwezi vibunda vimekaribia Mwaisa, unyama mwingi, hapa kazi tu, tuendelee kuupiga mwingi In every day, enjoy to the Maximum. Fight to complete 💪🏿 what you plan to do, as early as possible.
Niseme mawili matatu.. Kuna mtaa (rural area) ninakaa ambao nina kama Nusu mwaka tu, kwa kazi yangu na hobb yangu kama kucheza mpira (ndondo tu mtaani) kunanipa nafasi ya kujuana/kukutana na watu wengi lakini watu hao wote marafiki kwangu ni wachache sana.
Kuna vitu nakutana navyo kwa majirani na marafiki vinanishangaza sana...Mimi nilivyo kwanza, sio mtu wa kuogopa kuchukiwa au kusemwa vibaya na watu, yani mtu akinisema huwa naona ndio kama Ananipaisha na kuniongezea sifa tu.
Nina jirani yangu Hapa mmoja anaishi na mdogo wake, wote huwa tunacheza mpira uwanja mmoja.. ni wastarabu vizuri tu ila sijui ni ustarabu kuzidi au na kutopenda ukaribu sana na watu, mie sijui.. kama majirani huwa kuna Vitu mtashare tu, mfano ukiwa kwake ukikaribishwa kula hata kama huna njaa jirani akikushurutisha kula, inakubidi lakini mimi ninacho washangaa mimi nikiwakaribisha kwangu wanakua wazito au kupokea ninacho wapa, wanakua kama hawamini amini hivi
Dogo wa jirani yangu ni jobless lakini cha ajabu unaweza kuta hajaenda kunywa chai ukimwambie twende tukapige hata supu hapo nyuma, yani anakua mgumu, atatufuta sababu ya kukataa
Sasa kwenye swala la Mahusiano na mapenz hapo ndo pasua kichwa yani hadi nashangaa.. mimi nikisimama tu na mwanamke naonekana kama namtaka, kuna wadau ground(uwanjani) wanachuki hatusemeshani kisa niliwahi kusemeshana na mademu zao, na wakati mimi sijawai kula demu wa mtu hata mmoja.
Kiasi kwamba wasichana wengine nakwepa na kuwakaushia hata salamu nikiogopa chuki kwa mabwana zao.
nikijua msichana fulani, anatoka na fulani basi inanibid nikae mbali na huyo binti
Mimi ni mgumu kupenda lakini nikipenda huwa napenda mazimaa, so sina tabia ya kubadili badili wanawake (umalaya) lakini cha ajabu kila rafiki yangu wa kiume huku hunishuku mimi ni mzee wa mademu, hadi naanza kujitetea nacha kusikitisha nipo single yani hata bebi wa kunitumia sms umeamkaje sweet hayupo yani.
Nikawa naumueleza dogo hapa jirani, Mfano jana tunacheki Match ya simba, nikawa namwambia.. mimi sina girlfriend just why toka tuanze kuangalia mpira hadi unaisha na masaa tuliokuwa tumekaa hapa hujaniona nashika simu yangu kuongea na mtu wala kutuma sms, kama wewe, huwezi kuniona nipo busy nachat DM, ukiona nachat basi ni social network au message mbili au tatu za kikazi full stop.
Naeleza hayo lakini haniamini.
Naomba wanaume tuache huu ukatuni huwezi kumchukia mwanaume mwenzio kisa tu umesikia alisimama na hawala yako, hayo mambo yanazungumzika 😃😃😂
Sharauti wasukuma wote nasema hivi acheni ushamba.
Niseme mawili matatu.. Kuna mtaa (rural area) ninakaa ambao nina kama Nusu mwaka tu, kwa kazi yangu na hobb yangu kama kucheza mpira (ndondo tu mtaani) kunanipa nafasi ya kujuana/kukutana na watu wengi lakini watu hao wote marafiki kwangu ni wachache sana.
Kuna vitu nakutana navyo kwa majirani na marafiki vinanishangaza sana...Mimi nilivyo kwanza, sio mtu wa kuogopa kuchukiwa au kusemwa vibaya na watu, yani mtu akinisema huwa naona ndio kama Ananipaisha na kuniongezea sifa tu.
Nina jirani yangu Hapa mmoja anaishi na mdogo wake, wote huwa tunacheza mpira uwanja mmoja.. ni wastarabu vizuri tu ila sijui ni ustarabu kuzidi au na kutopenda ukaribu sana na watu, mie sijui.. kama majirani huwa kuna Vitu mtashare tu, mfano ukiwa kwake ukikaribishwa kula hata kama huna njaa jirani akikushurutisha kula, inakubidi lakini mimi ninacho washangaa mimi nikiwakaribisha kwangu wanakua wazito au kupokea ninacho wapa, wanakua kama hawamini amini hivi
Dogo wa jirani yangu ni jobless lakini cha ajabu unaweza kuta hajaenda kunywa chai ukimwambie twende tukapige hata supu hapo nyuma, yani anakua mgumu, atatufuta sababu ya kukataa
Sasa kwenye swala la Mahusiano na mapenz hapo ndo pasua kichwa yani hadi nashangaa.. mimi nikisimama tu na mwanamke naonekana kama namtaka, kuna wadau ground(uwanjani) wanachuki hatusemeshani kisa niliwahi kusemeshana na mademu zao, na wakati mimi sijawai kula demu wa mtu hata mmoja.
Kiasi kwamba wasichana wengine nakwepa na kuwakaushia hata salamu nikiogopa chuki kwa mabwana zao.
nikijua msichana fulani, anatoka na fulani basi inanibid nikae mbali na huyo binti
Mimi ni mgumu kupenda lakini nikipenda huwa napenda mazimaa, so sina tabia ya kubadili badili wanawake (umalaya) lakini cha ajabu kila rafiki yangu wa kiume huku hunishuku mimi ni mzee wa mademu, hadi naanza kujitetea nacha kusikitisha nipo single yani hata bebi wa kunitumia sms umeamkaje sweet hayupo yani.
Nikawa naumueleza dogo hapa jirani, Mfano jana tunacheki Match ya simba, nikawa namwambia.. mimi sina girlfriend just why toka tuanze kuangalia mpira hadi unaisha na masaa tuliokuwa tumekaa hapa hujaniona nashika simu yangu kuongea na mtu wala kutuma sms, kama wewe, huwezi kuniona nipo busy nachat DM, ukiona nachat basi ni social network au message mbili au tatu za kikazi full stop.
Naeleza hayo lakini haniamini.
Naomba wanaume tuache huu ukatuni huwezi kumchukia mwanaume mwenzio kisa tu umesikia alisimama na hawala yako, hayo mambo yanazungumzika 😃😃😂
Sharauti wasukuma wote nasema hivi acheni ushamba.