Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Masai? Maana umekomaa sana na neno "msiki"Yani jirani inakuaje mtu uko kwako, unafungulia msiki hadi nyumba ya 5 au 6 wanasikia?
Ni kua wanataka na wengine wasikie au wanafurahia kusikia mziki kwa sauti kubwa?
Wazee wa bodaboda, hawa jamaa Wanafika Zebra, wanakuta magari yamesimana, ila wao wanatoka mbio hata hawajiulizi mara mbiliNi ushamba na ulimbukeni tu uliopitiliza, wakati mwingine ni kuwa na ile elimu duni ya kuiga kila kinachofanywa na wasanii na mitandaoni .
Tabia hiyo mbaya wanayo pia madereva wa bodaboda na baadhi ya wahudimu kwenye mabasi ya wasio na staha.
mtu alieshindwa kujiokoa akalambwa stik anakuaje mwokozi wako broo?YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO MPOKEE LEO UOKOLEWEView attachment 2960566
Watu wasiojiamini wanapenda sana makeleleYani jirani inakuaje mtu uko kwako, unafungulia msiki hadi nyumba ya 5 au 6 wanasikia?
Ni kua wanataka na wengine wasikie au wanafurahia kusikia mziki kwa sauti kubwa?
Soma alama za nyakatiYani jirani inakuaje mtu uko kwako, unafungulia mziki hadi nyumba ya 5 au 6 wanasikia?
Ni kuwa wanataka na wengine wasikie au wanafurahia kusikia mziki kwa sauti kubwa?
KabisaNi ushamba na kukosa ustaarabu tu
kuna msenge yupo jirani na geto langu kusema ukweli ana nikwaza sana. Hili geto nalipenda sana ila kila nikifikiria kuhama kwa sababu ya huyu mjinga naishiwa nguvu kabisa.Yani jirani inakuaje mtu uko kwako, unafungulia mziki hadi nyumba ya 5 au 6 wanasikia?
Ni kuwa wanataka na wengine wasikie au wanafurahia kusikia mziki kwa sauti kubwa?
Muhuni atakuhamisha mtaa.kuna msenge yupo jirani na geto langu kusema ukweli ana nikwaza sana. Hili geto nalipenda sana ila kila nikifikiria kuhama kwa sababu ya huyu mjinga naishiwa nguvu kabisa.
Anazingua sna halafu kazi ninazofanya narudi geto nimechoka sana. Kurudi kwangu ni kuanzia saa 4 usiku ila huwezi amini jamaa anafungulia sauti alafu anapitiwa usingizi mtaa mzima kuna kelele maana usiku kuna utulivu. Nashindwa kumuambia ila najiuliza wenzangu hawaoni kero? Sitaki kuonekana kama kiherehere ila anazingua big time.Muhuni atakuhamisha mtaa.
Pengine kila mmoja ni ile anawaza "nani atamfunga paka kengele?"Anazingua sna halafu kazi ninazofanya narudi geto nimechoka sana. Kurudi kwangu ni kuanzia saa 4 usiku ila huwezi amini jamaa anafungulia sauti alafu anapitiwa usingizi mtaa mzima kuna kelele maana usiku kuna utulivu. Nashindwa kumuambia ila najiuliza wenzangu hawaoni kero? Sitaki kuonekana kama kiherehere ila anazingua big time.