Majirani zetu Kenya wanahenyeshwa na kizazi Cha 1990s, Wabunge wako njia panda

Majirani zetu Kenya wanahenyeshwa na kizazi Cha 1990s, Wabunge wako njia panda

Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu

Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo

Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Mkuu wewe vipi? au ni Keybord worrior? Make Taifa lina Wajinga wengi plus Keybord Worrior wengi sana.
 
Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu

Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo

Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Jo Bwana, unamfananisha kijana anayejipambania na Chawa anayetegemea arushiwe buku 7 ndo aishi?
 
Tuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
 
Tuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
Haya majangili ya mali za umma yanaloga mpk tunajisahau hata kujadili bajeti
 
Tuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
Uhuni aliotendewa Lowasa ulifanya Watu Wengi wakinai siasa

Ila kitendo Cha Halima James Mdee na wenzake kutinga bungeni kihuni na kuapishwa nje ya bunge kuliwafanya Watu Wengi kuamini Siasa na maigizo kama Futuhi tu
 
Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu

Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo

Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Hapa Tz, kizazi hicho kimebobea kwenye uchawa, singeli, vigodoro, kubeti, na visungura, wanabishana mpira kutwa mzima,
Huku nchi inaliwa, mtoto wa Madelu Nchemba Yuko Feza boys aje kuwa Waziri wa fedha 2050,
 
Back
Top Bottom