Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Lucas anaonewa sana.....🤣🤣🤣Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas anaonewa sana.....🤣🤣🤣Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Huyu huyu chawa kama Sophian juma?Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
Kweli imechangia snUhuni aliotendewa Lowasa ulifanya Watu Wengi wakinai siasa
Ila kitendo Cha Halima James Mdee na wenzake kutinga bungeni kihuni na kuapishwa nje ya bunge kuliwafanya Watu Wengi kuamini Siasa na maigizo kama Futuhi tu
Huyu ni PS wa UWT unategemea ni nini?Jobless hao wameamua kuingia road...
Lucas ana 40, kakata tamaa ya maisha kaamua kuuza utu
Usituingize vijana wote wa 90s kwenye kundi moja na huyo mwehuWaandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
EcoTuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
😂😂😂Usituingize vijana wote wa 90s kwenye kundi moja na huyo mwehu
Hapa uvccm usiku wanageuka kuwa panyaroad na kukaba raia wema kukabiliana na ugumu wa maishaWaandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM 😂😂
View: https://www.youtube.com/watch?start=183&end=476&v=mDnjXh4rvbA&feature=youtu.be
Vijana wamewafuata polisi bila uoga wanawauliza "sisi ni kaka zenu, dada zenu, ndugu zenu tumewafanyia nini? hatuna silaha tunaandamana kwa amani kwanini mnatupiga? " Polisi baada ya kuona vijana wamechachamaa wakaamua kuondoka, nadhani polisi waliamua kuondoka baada ya kuona muda wowote chochote kinaweza kutokea kwani wananchi walishachefukwa, wamechukia na wapo tayari kwa lolote.
Na bavicha wanaunga juhudiHapa uvccm usiku wanageuka kuwa panyaroad na kukaba raia wema kukabiliana na ugumu wa maisha
nadhani mihemko, ghadhabu na kutukana matusi yale madogo na makubwa, kulichochewa na uelewa na ufahamu mdogo wa vijana ambao leo hii wameujua ukweli kuhusu masula ya siasa na maisha 🐒Tuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
Hiyo kitambo sana enzi za yule dhalimNa bavicha wanaunga juhudi