johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wewe vipi? au ni Keybord worrior? Make Taifa lina Wajinga wengi plus Keybord Worrior wengi sana.Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM ππ
Jo Bwana, unamfananisha kijana anayejipambania na Chawa anayetegemea arushiwe buku 7 ndo aishi?Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM ππ
Hili ni chiziWaandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM ππ
Alikuwa anateua wajinga ndiyo ikageuka kuwa siri ya mafanikioUwezo wa kiakili na kujitambua kwa hao vijana ni mkubwa kuliko hao wapuuzi wa Lumumba buku7
Yule mwehu mhutu alichangia sana kuharibu vijana.
Huyu ni mama wa makamoHuyu Lucas uliyemtaja hapa ndiye huyu huyu Lucas Mwashambwa Chawa No. 1 wa CCM anayeongoza sasa?
Bajeti inapitishwa Kwa mtutu πΌHili ni chizi
πππHuyu ni mama wa makamo
Ni shauri ya ujinga wetu, nchi inaendeshwa kwa matamko ya Rais na siyo katiba, sheria, kanuni na taratibuBajeti inapitishwa Kwa mtutu πΌ
Maandamano nchi nzimaAlikuwa anateua wajinga ndiyo ikageuka kuwa siri ya mafanikio
Haya majangili ya mali za umma yanaloga mpk tunajisahau hata kujadili bajetiTuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
Uhuni aliotendewa Lowasa ulifanya Watu Wengi wakinai siasaTuseme ukweli bongo political consciousness imeshuka Sana. Siku hizo bajeti inajadiliwa na hakuna mwenye muda nao au kashfa ya sukari ya Bashe, hakuna mwenye muda nayo. Nadhani kizazi Cha tofauti na kipindi Cha 2010 Kuja 2015. Tulijikwaa wapi?.
Hapa Tz, kizazi hicho kimebobea kwenye uchawa, singeli, vigodoro, kubeti, na visungura, wanabishana mpira kutwa mzima,Waandamanaji wa Kenya ninawaangalia hapa Citizen TV hakika ni vijana Wadogo Wadogo Watupu
Wabunge wameambiwa waamue kusuka au kunyoa Kwani safari ya kutafuta Kenya mpya ndio inaanza Rasmi Leo
Ni vijana Wadogo Wadogo kama akina Lucas huyu wa UVCCM ππ