Majivuno ya CEO Barbara Yanairudisha nyuma Simba kimaendeleo

Hayawahusu..huyu mwanamke anaaasumbua sana vichwa vya watu..alipoondoka manara akalia lia akajua atabembelezwa akamsema wee lakini dada yuko ngangari. Na Kupitia huyu dada Simba inaendelea kupata mafanikio kama club.
Nyie ni mabwege kweli yani, mtu gani unagombana na kila MTU, kila mtu akulalamikie wewe tu hii sio sawa uyu mdada Ana matatizo binafsi wamuangalie kwa jicho la 3, vinginevyo atawadumbukiza shimoni taratibu na wajinga wajinga Kama wewe ndio mtaendelea kumpigia makofi, na sakata hili la Morrison ndo linazidi kumuanika ujinga wake
 

Ulichokiandika ni tofauti na alichokisema yeye kwa mdomo wake.

[emoji3][emoji3]
 
kabla ya kuuona huo mkataba, hebu twambie ni mkataba gani na wa mchezaji ganj ushawahi kuuona wazi?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kipi hupandisha na kushusha thamani ya mchezaji?


Ukielewa hilo wala usingeandika hayo uliyoandika.

Suala la Mo kujadili na Morison huo ni utaratibu wao wa namna ya kuendesha mazungumzo
 
Ivi unayajua majivuno ya PEREZ wewe uto PEREZ uwa anawachana wanahabari na hapindishi maneno sasa Madam CEO aliwai kujivuna wapi??lini?? Zaidi ya kuchapa kazi tu tazama alivyoibua mjadala wa Udhamini wa GSM kwenye ligi kuu kina senzo wote walitoa jasho,,,Kesi ya Morrisom CAF na FIFA kina Injinia nusu watoe chozi...Kufukuza Virusi kama Manara,BM3 yaani kifupi anapiga kazi
 
Kwa mchezaji gani wa kugombania tatizo wa bongo limbukeni sana aende huko akakutane na ambundo waanze kukesha bar.
 
Ata mm nashangaa sana nashindwa kuelewa maana ya kusema babra ana wivu ,,kivip yan ,suhala la Morrison ata kama mm ningekua kiongoz wa simba ningekua na machaguo mawili kumuacha au kupunguza baadhi ya maslai kinachopandisha maslai ya mchezaji ni kiwango sasa Morrison misimu yote miwil ana kiwango gani ch kupandisha thaman yake , tunalaumu tu kwa chuki au mapenzi mchezaji akiwa na kiwango kikubwa aboreshewe maslai ata akiwa na kiwango cha kushuka au kupanda iwe ivyo ivyo nani anaweza ,yani leo hii yule mugalu au lwanga ili abak uwaboreshee maslai ,kwa wachezaji aina ya Morrison machaguo yanakua mawil au matatu maslai yabak vile vile ,yapungue au aangalie pengine
 
Mwanamke ni mwanamke tu maamuzi ya kike kike...Simba Kwa huyu dada N0 kubwa..
wewe achana na uwezo mzuri wa kazi aliouonesha barbara Gonza!Simba msimfanye huyu dada ndiye chanzo cha kufungwa na Yanga ila jaribuni kusuka timu nzuri ili muwe wa shindani azizi wa Yanga.

tokea timu ifungwe na Yanga maneno mabaya ya majungu na fitina yanatungwa kila kukicha kumchafua Mama Gonzalel.Yanga angefungwa majuzi na simba kuingia fainali ya ASAF leo hii haya yote maneno ya kitoto yasingetokea. simba kueni na kujua hata madrid kafungwa nne bila na bacelona msimu huu lakini klabu imetulia na kuchukua ubingwa wa UEFA

. sasa na nyinyi tulieni tuu makombe yapo mengi sana mkikosa ya nyumbani hata ya CAF mna haki ya kubeba. Yanga mwakani inaingia CAF kwenda kulibeba kombe na wakibeba tuu ndoo ya CAF sisi mashabiki tutauomba uongozi uiombe serikali public holiday ili shangilia yetu iwe zaidi ya ile ya the Roco blanco(real mabrid nick name) nyie mtabaki kumchafua mama Gonzalel huku timu ikikanyaga kimba! kueni sasa yanga kila siku YASC ni daima mbele nyuma mwiko! you guys grow up, wise up, get ma point?
 
Kwa mchezaji gani wa kugombania tatizo wa bongo limbukeni sana aende huko akakutane na ambundo waanze kukesha bar.
kua umri wako vizuri la sivyo barbara ni kiongozi madhubuti jana na leo. kumbuka kusuka timu na sio kusuka matusi kwa dada yetu Gonza!
 
Mwanamke mpe kazi ya wizara ya mambo ya ndani na watoto, uku kwingine ni kuleta matatizo yasiyo na ulazima
uchungu wa goli la feisal toto usiwe nongwa kwenu kumtukana mama Gonzalel. Yanga ikiwafunga tuu kila siku lazima mufukuza kocha na kutafuta the scape goats klabuni.
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…